Yanga sio timu ya wachezaji aidha waliotoka nje ama ndani kuja kuichezea

Yanga sio timu ya wachezaji aidha waliotoka nje ama ndani kuja kuichezea

pesakilakitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,618
Reaction score
2,861
Naona mashabiki oya oya mtakuja kwa spidi ya SGR kunishambulia na mapanga wengine manati.

Sikilizeni niwaambieni, huo ndio ukweli, mkubali ama mkatae, yanga sio timu ya wachezaji wa ndani ama nje ya nchi kuikimbilia. Je ni mchezaji gani ametoka ama alitoka yanga akaenda kucheza timu kubwa nje ya nchi?

Nimesikia taarifa za Lawi eti yanga wanataka kupindua meza, eti anaenda yanga, nimeishia kucheka na kumskitikia sana huyo kijana na vijana wengine,,nasema wazi huyo akienda yanga ndio mpira wake utaishia huko watu wanafikiri feisal alikua mjinga kupambana hadi na huyo injinia ili aondoke mana anajua yanga kua mchezaji kutokea hapo kwenda kuchezea timu nzur zaid ni ndoto za alinacha labda ulazimishe ama usubirie mkataba uishe au kama ulikuja kwa mkopo kama Fiston mayele.

Pia naamini pasi na shaka aziz ki akivuta mashisha yake atakua anajilaumu sana kuongeza mkataba bora angeenda kucheza sehemu nyingine nje ya tanzania, sasa wamemdanganya kua utakua supastaa wa hapa bongo utaliliwa na madem na akapewa hadi jishangaz hamisa wamemdanganya, hata Pacome anatamani kuja Simba Sports Club anajuta saivi..muone mtu kama kibwana shomari naamin atakua anajuta nakulia machoz kila siku kwa kukubali kuja yanga, Mzinze badala mdogo wangu ungeweka ngumu umewekewa mabilioni mezani, kama kawaida ya yanga kuwazibia rizki wachezaji ukaamua kuwasikiliza.

Embu ona Simba jinsi ilivyo na utu wema na roho isiyo kua ya husda katka kuwaachia wachezaji wakatafute malisho mapya pale ofa NONO inapokuja mezani, ndio mana kila siku inabarikiwa na wachezaji wazuri zaidi na kipindi hiki timu hii ni TISHIO. Embu ona hadi sasa Kaizer Chiefs, Wyadad, Pirates, na timu nyingine kubwa zimeanza kubisha hodi kuulizia wachezaji.

KALAGABAHO!
 
Sunday Manara- Ulaya.
Nonda Shaban- Ulaya.
Simon Msuva- Uarabuni.
Feston Mayele- Uarabuni.
Hapo sijawataja akina Ngassa na Malima Jembe ulaya walioenda South Africa, Shaibu Ninja- Marekani, Clara Luvanga( kwa timu ya wanawake) Alieanda Saidia Pro League.
Aisha Masaka Ulaya
 
Naona mashabiki oya oya mtakuja kwa spidi ya SGR kunishambulia na mapanga wengine manati.

Sikilizeni niwaambieni, huo ndio ukweli, mkubali ama mkatae, yanga sio timu ya wachezaji wa ndani ama nje ya nchi kuikimbilia. Je ni mchezaji gani ametoka ama alitoka yanga akaenda kucheza timu kubwa nje ya nchi?

Nimesikia taarifa za Lawi eti yanga wanataka kupindua meza, eti anaenda yanga, nimeishia kucheka na kumskitikia sana huyo kijana na vijana wengine,,nasema wazi huyo akienda yanga ndio mpira wake utaishia huko watu wanafikiri feisal alikua mjinga kupambana hadi na huyo injinia ili aondoke mana anajua yanga kua mchezaji kutokea hapo kwenda kuchezea timu nzur zaid ni ndoto za alinacha labda ulazimishe ama usubirie mkataba uishe au kama ulikuja kwa mkopo kama Fiston mayele.

Pia naamini pasi na shaka aziz ki akivuta mashisha yake atakua anajilaumu sana kuongeza mkataba bora angeenda kucheza sehemu nyingine nje ya tanzania, sasa wamemdanganya kua utakua supastaa wa hapa bongo utaliliwa na madem na akapewa hadi jishangaz hamisa wamemdanganya, hata Pacome anatamani kuja Simba Sports Club anajuta saivi..muone mtu kama kibwana shomari naamin atakua anajuta nakulia machoz kila siku kwa kukubali kuja yanga, Mzinze badala mdogo wangu ungeweka ngumu umewekewa mabilioni mezani, kama kawaida ya yanga kuwazibia rizki wachezaji ukaamua kuwasikiliza.

Embu ona Simba jinsi ilivyo na utu wema na roho isiyo kua ya husda katka kuwaachia wachezaji wakatafute malisho mapya pale ofa NONO inapokuja mezani, ndio mana kila siku inabarikiwa na wachezaji wazuri zaidi na kipindi hiki timu hii ni TISHIO. Embu ona hadi sasa Kaizer Chiefs, Wyadad, Pirates, na timu nyingine kubwa zimeanza kubisha hodi kuulizia wachezaji.

KALAGABAHO!
wew ni andazi,kama si roho mbaya za mbumbu fc yenu saa hizi kibu angekuwa nancheza ulaya,aishi Azam
 
Naona mashabiki oya oya mtakuja kwa spidi ya SGR kunishambulia na mapanga wengine manati.

Sikilizeni niwaambieni, huo ndio ukweli, mkubali ama mkatae, yanga sio timu ya wachezaji wa ndani ama nje ya nchi kuikimbilia. Je ni mchezaji gani ametoka ama alitoka yanga akaenda kucheza timu kubwa nje ya nchi?

Nimesikia taarifa za Lawi eti yanga wanataka kupindua meza, eti anaenda yanga, nimeishia kucheka na kumskitikia sana huyo kijana na vijana wengine,,nasema wazi huyo akienda yanga ndio mpira wake utaishia huko watu wanafikiri feisal alikua mjinga kupambana hadi na huyo injinia ili aondoke mana anajua yanga kua mchezaji kutokea hapo kwenda kuchezea timu nzur zaid ni ndoto za alinacha labda ulazimishe ama usubirie mkataba uishe au kama ulikuja kwa mkopo kama Fiston mayele.

Pia naamini pasi na shaka aziz ki akivuta mashisha yake atakua anajilaumu sana kuongeza mkataba bora angeenda kucheza sehemu nyingine nje ya tanzania, sasa wamemdanganya kua utakua supastaa wa hapa bongo utaliliwa na madem na akapewa hadi jishangaz hamisa wamemdanganya, hata Pacome anatamani kuja Simba Sports Club anajuta saivi..muone mtu kama kibwana shomari naamin atakua anajuta nakulia machoz kila siku kwa kukubali kuja yanga, Mzinze badala mdogo wangu ungeweka ngumu umewekewa mabilioni mezani, kama kawaida ya yanga kuwazibia rizki wachezaji ukaamua kuwasikiliza.

Embu ona Simba jinsi ilivyo na utu wema na roho isiyo kua ya husda katka kuwaachia wachezaji wakatafute malisho mapya pale ofa NONO inapokuja mezani, ndio mana kila siku inabarikiwa na wachezaji wazuri zaidi na kipindi hiki timu hii ni TISHIO. Embu ona hadi sasa Kaizer Chiefs, Wyadad, Pirates, na timu nyingine kubwa zimeanza kubisha hodi kuulizia wachezaji.

KALAGABAHO!
Bora mama ako angezaa boga achemshe
 
Sunday Manara- Ulaya.
Nonda Shaban- Ulaya.
Saimon Msuva- Uarabuni.
Feston Mayele- Uarabuni.
Hapo sijawataja akina Ngassa na Malima Jembe ulaya walioenda South Africa, Shaibu Ninja- Marekani, Clara Luvanga( kwa timu ya wanawake) Alie ends Saidia Pro League.
Nimecheka sana...

Manara na nonda, sjui msuva , sjui malima, wa miaka.hyo imepita zaid ya miaka 30 wengine miaka 50 ndio unawatolea mfano? [emoji23]

Mayele nani hajui alikuja kwa mkopo yanga ? Hata alivyoondoka , uto haikupata hata mia mbovu..[emoji23]

Ngasa alienda timu gani, wachezaj wa miaka ya 90 ndio mnawatolea mfano
 
Na wewe bora mama yako angeendelea na kaz yake ya umaraya kuriko kukuzaa wewe angekutupa chooni tuje tukunyee kwa juu.
Haya ndio madhara ya kuwa shabiki maandazi kupitiliza bila kuwa na elimu na maarifa ya kutosha.
Kaz = kazi
Umararaya = umalaya
Kuriko = kuliko
Haujachelewa rudi shule ukajiendeleze acha kuwaza mpira tu huku shule inakupiga chenga.
 
Sunday Manara- Ulaya.
Nonda Shaban- Ulaya.
Saimon Msuva- Uarabuni.
Feston Mayele- Uarabuni.
Hapo sijawataja akina Ngassa na Malima Jembe ulaya walioenda South Africa, Shaibu Ninja- Marekani, Clara Luvanga( kwa timu ya wanawake) Alie ends Saidia Pro League.
Haya majitu mengine kuyajibu ni kupoteza muda tu. Mwache aendelee kumsikiliza bin kazumari
 
Back
Top Bottom