Yanga sio ya Taifa si ulisema Hansi ?

Tanzania1960

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2012
Posts
204
Reaction score
22
Hansi si ulisema Yanga sio Timu ya taifa sasa wametia aibu wipi taifa?
 
Hans Poppe -mmepata kocha? Fuatilia masuala hayo badala ya masuala ya Yanga.

Kila siku anamwaga pumba tu. Inaelekea akili imeharika kukaa sana gerezani akitumikia kifungo cha uhaini.
 
Wakuu mbona povu sana, walio wafunga ni Mazembe sio simba naona mnatokwa povu, tulieni dawa iingie vizur.

hahaaaaa wakimataifaaaa komaeni mtuletee kombe la kimataifa
 
Wakuu mbona povu sana, walio wafunga ni Mazembe sio simba naona mnatokwa povu, tulieni dawa iingie vizur.

hahaaaaa wakimataifaaaa komaeni mtuletee kombe la kimataifa
Kabla ya kuitaka Yanga ikuletee kombe (ambayo sio timu unayoshabikia) ungetuambia hiyo Simba yako(unayoshabikia) imeshawahi kukuletea hilo kombe la kimataifa ???
 
Kabla ya kuitaka Yanga ikuletee kombe (ambayo sio timu unayoshabikia) ungetuambia hiyo Simba yako(unayoshabikia) imeshawahi kukuletea hilo kombe la kimataifa ???
Mkuu simba itaketaje kombe wakati ni ya matopeni. tunawategemea ninyi wa kimataifa.

vipi mkuu mbona unaonekana kukata ramaa mapema wakati mashindano ndo kwanza yanaanza?
 
Mkuu simba itaketaje kombe wakati ni ya matopeni. tunawategemea ninyi wa kimataifa.

vipi mkuu mbona unaonekana kukata ramaa mapema wakati mashindano ndo kwanza yanaanza?
Kwahiyo nyinyi ni wakutegemea,hamtaki kutegemewa ???
 
ndiyo mkuu ninyi tunaowategemea ndo tunawasubir pale airport na kikombe.

mkuu usikate tamaa bado chance ipo ya kushinda
Ila ni aibu kwa mtu uliyetimia viungo vya mwili,una macho,miguu,mikono,pua akili na kila kitu alichonacho mwenzako nawe unavyo kisha umtegemee, wewe unaonaje hilo haliwatii aibu ??
 
Wakuu mbona povu sana, walio wafunga ni Mazembe sio simba naona mnatokwa povu, tulieni dawa iingie vizur.

hahaaaaa wakimataifaaaa komaeni mtuletee kombe la kimataifa
Hawa kandambili wamechezwa ndomboro wanatokwa povu , sijui simba inaungiaje hapa
 
Kwakua mnatuita wamatopeni,tunataka kuona vya kimataifa lakini kumbe sebene hamwezi! HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…