Yanga tafuteni mhamasishaji mpya, hii ni football siyo 'rede'

Wasemaji wa nini yaani bongo kuna ujinga mwingi, teams zicheze mpira matokeo yaonekane , huyo Manara mwenyewe alikua ana jimwambafy ndio source ya kujaza uwanja juzi kati hapa team iliyumba mashabiki wakapungua uwanjani , kama wasemaji wangekua wanasaidia club bingwa Africa ingekua simba lkn mpira hauna hayo makitu yenu let's play football not politics

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…