Yanga tulimalizwa na Makonda!

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,197
Ama mbinu za kummaliza Adui yako si kwenye vita pekee;hata Yanga Makonda alituua na kutumaliza kabisa hasa baada ya Mhe Diwani wa Mbagala na Jembe la Yanga (Manji)kubambikiwa kesi za hovyo kabisa kisa ni maendeleo ya Yanga!

Katika siku nimeumia ni leo!Huu ushindi wa Siasa ya mpira kwa hao Waarabu wepesi sisi tungejichukulia Jimbo kwa hata goli 10!

Lakini bwana kwa sababu alizozijua yeye Makonda aliamua kutuonea na kumuumiza ndg yetu na kutuharibia kabisa chama kubwa Y!

Anyway, ya Mungu mengi.Ipo siku sisi pia atatuhurumia na kuturejeshea Jimbo letu.

Viva Yanga!
 
Yanga haina maendeleo kwa sababu wanao iendesha Yanga wana fikira kama zako

Ni aibu klabu kubwa kama Yanga kumbembeleza Manji atoe pesa tu bure bure kama vile anampa mkewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga haina maendeleo kwa sababu wanao iendesha Yanga wana fikira kama zako

Ni aibu klabu kubwa kama Yanga kumbembeleza Manji atoe pesa tu bure bure kama vile anampa mkewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mo anawadai Mikia 6 billions pembeni ya alizowekeza 20 billions..unafikiri wachezaji wanasajiliwa na nani?
 
Mleta mada punguza chuki na uchonganishi. Mbaazi akikosa maua tatizo jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…