Bobynah6453
New Member
- Sep 10, 2017
- 1
- 0
nadhani wameshiba mafanikio mkuu.Kiukweli timu ya dar es salaam Young Africans(Yanga) tangu wamnyang'anye mikoba Hans Van Pluijm na kumkabidhi George Lwandamina mambo yamekuwa hovyo kila kukicha.
Mpaka sasa viwango vya wachezaji kama Juma Abdul,Donald Ngoma,Kelvin Yondan na Juma Mahadhi havionekani kabisa yote haya kwa sababu ya ubovu wa huyu kocha.
Sana sana ngoma ndo kaisha kabisa hana makali kabisa kama yale ya kipindi kile cha Hans Pluijm.
Yanga kila kukicha inazidi kuwa timu mbovu,hata aina ya ushindi wanaopata ni kiduchu sana ,mpira wanaocheza hauvutii kabisa na wanacheza kana kwamba timu bado ni ngeni kwenye ligi kuu.
Kikubwa cha kushukuru ni ubora wa kipa tuliyempata bila hivyo tungekuwa tunaoga mvua ya magoli kila kukicha.
Natamani leo kesho huyu bundi(lwandamina) anayetujaribia timu yetu aondoke.
Yanga tumekuwa wakiwa sana tangu Hans aondoke Yanga na Lwandamina kukabidhiwa mikoba.
inasikitisha sanaTamaa ya kumfunga mwarabu ndiyo iliyofanya Hans afukuzwe Yanga,walikuwa wanadai kuwa Lwandamina ana uwezo mkubwa sana wa kuwafunga waarabu.
Haya sasa huyu aliyeletwa kwa mbwembwe ndio atatukosesha hata hiyo tiketi ya kushiriki...hovyo kabisa hilo dudeMi kwa maoni yangu, Plujim alikua kocha mzuri na katupa mafanikio ila m naona team ilikua ime stack yan haiendi tena mbele, imedumaa. Tunacheza ligi ya mabingwa kila siku hatuna mafanikio ata robo hatufiki tulikua tunahitaji kocha ambae atatusaidia kufanya vizuri ligi ya mabingwa Africa.
ulivyoandika utafikiri aveva yupo hoterini!!!!!!!Jumlisha malinzi na kuwabeba na kanji kununua waamuzi hata has Wa mechi za simba!!malipo Ni hapa hapa duniani..wote wako segedance!!
Sema toka Manji aondoke sio Hans. Sasa hivi kuna njaa!Kiukweli timu ya dar es salaam Young Africans(Yanga) tangu wamnyang'anye mikoba Hans Van Pluijm na kumkabidhi George Lwandamina mambo yamekuwa hovyo kila kukicha.
Mpaka sasa viwango vya wachezaji kama Juma Abdul,Donald Ngoma,Kelvin Yondan na Juma Mahadhi havionekani kabisa yote haya kwa sababu ya ubovu wa huyu kocha.
Sana sana ngoma ndo kaisha kabisa hana makali kabisa kama yale ya kipindi kile cha Hans Pluijm.
Yanga kila kukicha inazidi kuwa timu mbovu,hata aina ya ushindi wanaopata ni kiduchu sana ,mpira wanaocheza hauvutii kabisa na wanacheza kana kwamba timu bado ni ngeni kwenye ligi kuu.
Kikubwa cha kushukuru ni ubora wa kipa tuliyempata bila hivyo tungekuwa tunaoga mvua ya magoli kila kukicha.
Natamani leo kesho huyu bundi(lwandamina) anayetujaribia timu yetu aondoke.
Yanga tumekuwa wakiwa sana tangu Hans aondoke Yanga na Lwandamina kukabidhiwa mikoba.
Kule Mabingwa hakuna kuhonga.Mi kwa maoni yangu, Plujim alikua kocha mzuri na katupa mafanikio ila m naona team ilikua ime stack yan haiendi tena mbele, imedumaa. Tunacheza ligi ya mabingwa kila siku hatuna mafanikio ata robo hatufiki tulikua tunahitaji kocha ambae atatusaidia kufanya vizuri ligi ya mabingwa Africa.
hongereni sana.mmempataMi kwa maoni yangu, Plujim alikua kocha mzuri na katupa mafanikio ila m naona team ilikua ime stack yan haiendi tena mbele, imedumaa. Tunacheza ligi ya mabingwa kila siku hatuna mafanikio ata robo hatufiki tulikua tunahitaji kocha ambae atatusaidia kufanya vizuri ligi ya mabingwa Africa.