Habari wadau,
Nimekubali hujui thamani ya ulichonacho hadi kikiondoka. Mwinyi Zahera tulimfukuza kwa mbwembwe.
Ila mpaka leo yanga haijapata mafanikio kuzidi ya mwinyi zahera japo alikaa mida mfupi kwa timu maskini bila tajiri gsm wala manji na isiyo na viongozi.
Zahera alituletea makambo buree na hata mshahara haukuwepo. Leo Yanga ya GSM inajisifia itamsajili makambo yule yule.
Zahera alituletea david molinga falcao akatufungia magoli kibao. Yanga tukamponda molinga kibongeee na kumfukuza kwa mbwembwe, leo hii yanga haina mshambuliaji hata mmoja aliemkaribia kwa magoli molinga aliekuwa anakaa benchi na kucheza mechi chache.
Kweli Mwinyi Zahera wanayanga tuna-mmiss
Nimekubali hujui thamani ya ulichonacho hadi kikiondoka. Mwinyi Zahera tulimfukuza kwa mbwembwe.
Ila mpaka leo yanga haijapata mafanikio kuzidi ya mwinyi zahera japo alikaa mida mfupi kwa timu maskini bila tajiri gsm wala manji na isiyo na viongozi.
Zahera alituletea makambo buree na hata mshahara haukuwepo. Leo Yanga ya GSM inajisifia itamsajili makambo yule yule.
Zahera alituletea david molinga falcao akatufungia magoli kibao. Yanga tukamponda molinga kibongeee na kumfukuza kwa mbwembwe, leo hii yanga haina mshambuliaji hata mmoja aliemkaribia kwa magoli molinga aliekuwa anakaa benchi na kucheza mechi chache.
Kweli Mwinyi Zahera wanayanga tuna-mmiss