Yanga tunaonewa sana

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Hadi sasa kwa nini wengine wakifunga goli moja wanapostiwa vizuri mitandaoni sisi wanaishia kusema "kimoko"
Yaani hata Azam media nao wanatuhoji maswali magumu kuliko ya wenzetu.

Yanga haisemwi vizuri ijapo imeshinda mechi zote.TFF inatuonea sana,maana waamuzi inaotupangia hawaoni kama tunakabwa sana kuliko wenzetu.Watangazaji wa Azam wala hawakushangilia sana goli tulilofunga.

Sijui tumewakosea nini maana hata wachambuzi wa mpira wa kimataifa hawatupost kama wanavyowapost wenzetu wanaocheza kombe la luza.

Tuamke wananchi tulalamike hadi TFF,bodi ya ligi wasikie kilio chetu.
 
Watu kama nyie dawa yenu ni P Didy
 
Kazi kutuchania mikeka kubabake zenu
 

Attachments

  • FD11EB6F-678D-4C32-B7A6-157849E59316.png
    660.2 KB · Views: 2
  • 5DA31C23-91EE-41D3-9009-470D556DCA5A.png
    716.7 KB · Views: 2
  • 811002B1-652C-4669-B23B-50461088CD71.png
    746 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…