Yanga tunasema afile munu asigale munu jumapili

Yanga tunasema afile munu asigale munu jumapili

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Tupo Nyumbani na pamoja tumepata zuio la kutowatumia nyota wetu watatu bado tuna watu...
Makambo .....Moloko....Yacouba....
Bangala.....Mukoko......Ntibazokiza...
Wananchi vita hii tunakwenda kuishinda licha ya kelele na kejeri nyingi mitaani....tunasema afile munu asigale munu!(in Dula Mbabe's voice)
The Return of Champions!
 
Mshakuwa kaama dulla(mnyonge [emoji23]) tayari mnaenda kulidhalilisha taifa
 
Tupo Nyumbani na pamoja tumepata zuio la kutowatumia nyota wetu watatu bado tuna watu...
Makambo .....Moloko....Yacouba....
Bangala.....Mukoko......Ntibazokiza...
Wananchi vita hii tunakwenda kuishinda licha ya kelele na kejeri nyingi mitaani....tunasema afile munu asigale munu!(in Dula Mbabe's voice)
The Return of Champions!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utoo
 
Timu inamchezaji anaitwa bangala hivi kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na wewe wakikuita Likuma utakubali?
Wewe ni Yanga wewe
Unaonekana tu

Sasa hapo we mama j mimi nimetaja jina zima Libangala

Wewe ulivo mgando kwa kichwa ushatoa herufi za mwanzo ili utaje mali unayomiliki ulitakiwa useme Lisserunkuma ndo jibu sahihi sawa dadaangu?
 
Wewe ni Yanga wewe
Unaonekana tu

Sasa hapo we mama j mimi nimetaja jina zima Libangala

Wewe ulivo mgando kwa kichwa ushatoa herufi za mwanzo ili utaje mali unayomiliki ulitakiwa useme Lisserunkuma ndo jibu sahihi sawa dadaangu?
Hahahaha ushapaniki,mchezo huu hauhitaji hasiraaaaaa
 
Nyie makolo, dua la kuku halimpati mwewe
Kesho yule Rivers anakula goli zake nne mapema sana na shughuli tunapenda kumalizia kwao Nigeria
Mark my words
 
Hii kaulimbiu hatuitaki ilimponza dulla mbabe
 
Back
Top Bottom