Yanga: Tunawapongeza Watani Zetu

Yanga: Tunawapongeza Watani Zetu

Yanga teyar
Screenshot_20190105-223624.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani matokeo ngapi ngapi? Naona kuna Jamaa ameleta thread kaishia kati ,nikajua labda yanga wamegoma kuendelea na mechi maana Jamaa kaishia kuleta update dakika ya 79
 
Bikra mmeshatolewa sasa vipigo ni aluta kontiniuwa😂😂😂😂.
.
Arsenal alitolewa siku moja tu akanogewa, man city alitolewa siku moja tu akanogewa.😂😂😂😂
kumbe mikia mlitolewa na Mbao bikra..duuhh...TPL hakuna timu ya kuifunga Yanga ...
 
Mikia bhana! Yanga kafungwa kwenye bonanza kule Zanzibar hakuna aliyekataa! Dunia yote inajua Yanga ndiyo timu pekee ambayo haijafungwa katika ligi, mnaumia lakini ndio hivyo! Kama ni 'just' kufungwa mbona tulifungwa na timu ya Sumbawanga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra kama kutolewa alifungwa na Sumbawanga United kabla ya jana.

Katika ligi kuu bado hajafungwa..!
Bikra mmeshatolewa sasa vipigo ni aluta kontiniuwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
.
Arsenal alitolewa siku moja tu akanogewa, man city alitolewa siku moja tu akanogewa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom