ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Inawezekana kabisa hao walioamua kuondoa benchi lote la ufundi ndio hasa waliostahili kuondoka!
Benchi hilo mnaloliondoa nani aliliweka?vipi kuhusu gharama?
Naona kama Yanga ilikua hatua tisini mbele sasa itarudi nyuma hadi hatua arobaini.
Hivi mfano hata mtu una basi lako ila linasumbua kwenye kupiga starter lakini linasafiri vizuri safari ndefu za mikoani kutatua shida hiyo utauza gari?au utatafuta sababu kama ni battery au altorneter au wiring?
Uongozi wa Yanga mngetulia kutafuta sababu au Mngeomba ushauri kwa wadau na washabiki nini kifanyike. Timu imepoteza mchezo mmoja tu hadi sasa na timu inaongoza ligi shida iko wapi? Kaze kosa lake kuongoza ligi? Wachezaji wa Yanga hasa wazawa na mtu kama Niyonzima bado wana hadhi ya kuichezea Yanga ya kiwango mkitakacho?
Hebu tafuteni fungu muongeze wachezaji ma pro toka Ghana,Mali hata Morocco kama kweli mnataka matokeo.
Kwa kweli mmekurupuka viongozi wetu na sasa ndio mmeshatengeneza shida zaidi klabuni.
Benchi hilo mnaloliondoa nani aliliweka?vipi kuhusu gharama?
Naona kama Yanga ilikua hatua tisini mbele sasa itarudi nyuma hadi hatua arobaini.
Hivi mfano hata mtu una basi lako ila linasumbua kwenye kupiga starter lakini linasafiri vizuri safari ndefu za mikoani kutatua shida hiyo utauza gari?au utatafuta sababu kama ni battery au altorneter au wiring?
Uongozi wa Yanga mngetulia kutafuta sababu au Mngeomba ushauri kwa wadau na washabiki nini kifanyike. Timu imepoteza mchezo mmoja tu hadi sasa na timu inaongoza ligi shida iko wapi? Kaze kosa lake kuongoza ligi? Wachezaji wa Yanga hasa wazawa na mtu kama Niyonzima bado wana hadhi ya kuichezea Yanga ya kiwango mkitakacho?
Hebu tafuteni fungu muongeze wachezaji ma pro toka Ghana,Mali hata Morocco kama kweli mnataka matokeo.
Kwa kweli mmekurupuka viongozi wetu na sasa ndio mmeshatengeneza shida zaidi klabuni.