kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Inabidi team ipate ushindi ili wananchi wasipate mda wa kuhoji na kujua nini kinaendelea kwenye umafia wa uwekezaji wa GSM yanga ndio maana ushindi unatafutwa kwa njia yoyote ile maana Caf champions league wameangukia pua hyo njia hata mo dewji ndo anaitumia team ikiwa inapata matokeo mazuri hakuna anayehoji uwekezaji na team inavyoendeshwa hvyo inakuwa rahisi kuiendesha bila kelele otherwise mambo yangekuwa tofauti.Njia za mkato za ubingwa zipo tena rahisiiiiView attachment 2402139
Simba usajili wa gharama wa nini? Sajilini waganga wa kienyejiNjia za mkato za ubingwa zipo tena rahisiiiiView attachment 2402139
Counter strikeSimba usajili wa gharama wa nini? Sajilini waganga wa kienyeji
Kuna kipindi huwa unafanya vizuri kwenye siasa japokuwa nako wakati mwingine unapuyanga hasa. Hoja kama hizi wanapaswa kuzileta wasio na Muda wa kufikiri.Njia za mkato za ubingwa zipo tena rahisiiiiView attachment 2402139
Wamefikaje huko natumaini hata wewe unajua si kwa njia zile za janaCounter strike
Njia za mkato za ubingwa zipo tena rahisiiiiView attachment 2402139