YANGA- Usajili wa wanachama kidigitali

PintoG

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
612
Reaction score
732
Katika dunia hii ya technologia iliyokomaa watu wanapunguza muda wa kwenda kwenye ma-ofisi mguu kwq mguu.

Club ya Yanga kama kweli wanataka kuongeza wigo wa wanachama wao.waanzishe mfumo wa kusajili wanachama wapya kwa njia ya mfumo .ambapo mtu atajisajili kupitia simu ama computa na kulipa ada.

Binafsi natamani sana kuwa mwanachama ila sasa mida wa kuanza kutafuta matawi na kujaza makaratasi ndo ngumu. Viongozi hebu fungueni macho, halafu mboreshe pia app na website ya team, igeni kutoka vilabu vya inje,ukiingia website unaweza pata kila kitu cha club hapo.

Wekeni mfumo watu tujisajili kuwa wanachama tulipe ADA.amkeni dunia ipo kiganjani.
 
Kuboresha app na website ni vyema sana, lkn kujisajili kidigital huna sababu ya kutafta tawi lililopo, kama uko tayari nikupe namba ya mtu akutumie fomu online ujaze taarifa zako, ulipie kwa simu yako usubiri kupata kadi tu
 
Yanga kujisajili hakuhitaji utembee ulifate tawi lilipo mkuu

Popote ulipo unaweza kujisajili na ukalipia hiyo kadi ww mwenyewe bila kumpa mtu pesa mkononi

Ni uvivu wako tu wa kujisajili
 
weken u
Yanga kujisajili hakuhitaji utembee ulifate tawi lilipo mkuu

Popote ulipo unaweza kujisajili na ukalipia hiyo kadi ww mwenyewe bila kumpa mtu pesa mkononi

Ni uvivu wako tu wa kujisaji
nipe utaratibu master
 
weken u

nipe utaratibu master


Kwa wakazi wa Dar es salaam na mikoa mingine ambao wanahitaji kujisajili lakini kutokana na kubanwa na majukumu ya kazi wanashindwa kufika kwenye Tawi lolote kujisajili, Tawi la Yanga Whatsapp Makao Makuu limeandaa utaratibu mzuri wa kujisajili.

Kwa wale ambao wapo Nje ya Tanzania pia na wao Tumewaandalia utaratibu mzuri wa wao Kujisajili wakiwa huko huko waliko bila hata kufika Tanzania kwani sasa hivi mambo yanaenda Kidijitali zaidi.

Tuwasiliane kwa simu namba.

0685188679
 
Zoezi hili limekuwa la Ovyo,kadi zinatoka zimekosewa,picha ya mtu mwingine inaenda kwenye kadi ya mtu mwingine,majina yamekosewa Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…