Na kweli..ha haaaa...utachambwa mavi....2-0 huko dk ya 47
Ulitaka walie.?Hii inaonyesha jinsi yanga ilivyoshuka. Yaani inaifunga Mtibwa tena wakiwa nyumbani alafu watu wanakenua na kufurahi kama kitu cha ajabu sana. Inasikitisha!
Hahaaaa. Umesahau na ile Kuku akitaga yai moja ana kelele huyooo. Teh teh.Waliozoea ushindi yanga maana ilo kombe we we unaona umepata mwaka huu yanga kachukua tatu mfululizo sasa kuchukua Mara moja baada ya yanga kuyuamba kiuchumi imekuwa mmezoea...???? Aisee ama kweli maskini akipata matako hulia mbata
Hahaaaaa. Hivyo wanyamazage tu kwa kweli.Utawaweza wabongo Dada? mwambie apige danadana 10 tu kama anaweza, sembuse kucheza uwanjani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jirani kama kushangaa tungeshangaa kwa USM Alger banaaa. [emoji12] [emoji12] [emoji12]wana yanga mnavoshangaa ushindi utazani mmeona bombadia ubungo!!
Hakika Mkuu.Daima mbele nyuma mwiko.