Yanga vs Afc Leopards Supercup nusu fainali

thechosenone

Member
Joined
Jan 10, 2016
Posts
17
Reaction score
5
Game ya Yanga vs Afc Leopards ya Kenya..
Bado matokeo ni 0-0
Kipindi cha pili
YANGA 0-0 AFC LEOPARDS ‘LIVE’ MAPUMZIKO, SPORTPESA SUPER CUP, UWANJA WA UHURU
 
Simba kuweni na uzalendo kama kwenye makanikia,sitegemei kuwaona mkishangilia timu ya nje na kuzomea ya nyumbani.
 
Ni wakati sasa wa TFF kuwa na imani na timu za mikoani. Wanachofanya Yanga hakina tofauti na wenzao simba. Tunadhalilishwa sana na timu za kenya.
 
Tooooobaaaaaaaaa
Nimezimia mie
 
Poleni Ndala FC.. Chui hana mchezo wa kitoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…