Yanga vs Alliance Fc

km wamecheza nyumban mfululizo basi na ugenini watakuja cheza mfululizo hvyohvyo maana idadi ya mechi ni sawa, shida iko wapi mkuu?

Kiuhalisia hawa jamaa huwa wanajibu au kutoa mawazo yao kwa emotions zaidi kuliko facts hasa kwenye issue ya mafanikio ya Yanga.

Kwahiyo usitegemee kuwa atakujibu hiyo na ukaridhika. Kwakuwa kila mtu ana uhuru wa mawazo na inabidi tuyaheshim wewe wavumilie tuu ndio watani wetu hatuna jinsi
 
Nimekurupa na kuandika kwa muhemko.

Yanga 2 - 0 Alliance mechi ikichezwa DAR ES SALAAM cc: Khaligraph Jordan na sembo
Mtani nakutabiria siku hizi mechi zikiwa zinachezwa nitakutafuta.
Mbao vs yanga mnakufa (hii ni kawaida)
Biashara vs yanga mnakufa
Kagera vs yanga mnakufa
Ndanda vs yanga mnakufa (mna historia mbovu dhidi ya hawa)
Lipuli vs yanga mnakufa
Mtibwa vs yanga mnakufa
Azam vs yanga mnakufa.
Zingine tia maji
 
Hawa jamaa huwa nawashangaa sana kutoa sababu ya nyumbani kama kigezo cha kushinda.
Mm kwa Tanzania hapa nalia na viwanja tu
Nitajie kiwanja kibovu tanzania kama sio unaviskiaga kwenye kideo tu
 
Kumbe ndio maana unahoji kucheza kwa Yanga dar, kumbe unawazo haya. Sawa wewe tushajua ni adui yetu unayuombea njaa
 
Mbao mlisema hivyo alivyowapiga nyinyi kidude sisi tukampiga kidude hata huko kwao atapigwa tuu.

Mtibwa vs Yanga imeshachezwa tarehe 3 mwezi wa 8 Na tukampiga 2 kwa moja. Iliyobaki ni Yanga vs Mtibwa na najua matokeo unayajua
 
Nitajie kiwanja kibovu tanzania kama sio unaviskiaga kwenye kideo tu
Aiseee kumbe wewe sio mtu wakawaida, kwahiyo kama naona kwenye video inamaa sio uharisia? Kwahiyo mpira tunao angalia kwenye TV sio uharisia?
Nikujulishe tu kuwa Tanzania tunaviwanja vingi vibovu
 
SECOND HALF | Yanga 2 - 0 Alliance FC

17’ Mins Makambo ( Yanga) Assist Ibrahim Ajib
24’ Mins Mrisho Ngasa (Yanga) Assist Ibrahim Ajib
 
Aiseee kumbe wewe sio mtu wakawaida, kwahiyo kama naona kwenye video inamaa sio uharisia? Kwahiyo mpira tunao angalia kwenye TV sio uharisia?
Nikujulishe tu kuwa Tanzania tunaviwanja vingi vibovu
Umenielewa vibaya mkuu jaribu kufikiri kidogo nitajie viwanja ulivyovishuhudia ni vibovu au ni unasikiaga tu waandishi wakisema ni vibovu?
 
Niambie hizo impact yake kwenye Soka,yeye anamiliki Timu,yeye ni Rais wa TFF au yeye ni Refa au Mchezaji?
Haya ndio maswali sasa, impact ya rais ni motisha kwa wachezaji kutokutoa ruzuku ama kutoa kuhakikisha pesa wanayo (kupitia watendaji wake kama waziri na wizara nzima ya michezo
 
Umenielewa vibaya mkuu jaribu kufikiri kidogo nitajie viwanja ulivyovishuhudia ni vibovu au ni unasikiaga tu waandishi wakisema ni vibovu?
Sasa waandishi wanasema wapi mkuu? Sawa mkuu viwanja vyote hapa Bongo ni vzuri kama vya Ulaya
 
52’ Mins | Yanga 2 - 0 Alliance FC

17’ Mins Makambo ( Yanga) Assist Ibrahim Ajib
24’ Mins Mrisho Ngasa (Yanga) Assist Ibrahim Ajib
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…