Unamaanisha angalala na Simba mbele?Ile siku dhidi ya Simba ya 0-0 asingetolewa Ajib Simba lazima angelalala
Sijawahi kuona ratiba mbovu kama hii ya Tanzania... yani timu inacheza mechi 7 sijui 8 mfufulizo kwenye uwanja wa nyumbani! Hii ni aibu sana kwa Tanzania nzima na kwa kila mpenzi wa soka hapa nchini...
Ataenda ugenini ,round ya Pili hakuna tatizoBado mechi ngapi muanze kwenda mikoani?
Unamaanisha angalala na Simba mbele?
[emoji106] [emoji106]Simba angefungwa
Shukran ndugu yangu daima mbele
Ulichosema mkuu ni ukweli usiopingika hata hivyo aliyefanya hayo si Yanga bali ni uongozi wa TFF ambao ni Simba pure kuanzia Rais mpaka Msemaji wake. Walifanya hivyo kwa ajili ya kuibeba Simba ili imalize mapema michezo ya nje ya Kituo chake kwa kushinda then baadae imalizie kiulaini mechi za Dar. Hasa kwa kuwa iliaminiwa kuwa Yanga kwa kipindi hiki ni wabovu hivyo wangefungwa Dar na mikoani. Hata hivyo, Mungu si Mwakalobo wameumbuka.Sijawahi kuona ratiba mbovu kama hii ya Tanzania... yani timu inacheza mechi 7 sijui 8 mfufulizo kwenye uwanja wa nyumbani! Hii ni aibu sana kwa Tanzania nzima na kwa kila mpenzi wa soka hapa nchini...
Hasa kwa vile yupo fundi pale katikati ya dimba maestro Fei Toto!!!Afcon tu naenda mkuu ondoa wasiwasi
Vipi kikosi kipana hakipo tena? Mbona mnalialia sana?Kiuhalisia hawa jamaa huwa wanajibu au kutoa mawazo yao kwa emotions zaidi kuliko facts hasa kwenye issue ya mafanikio ya Yanga.
Kwahiyo usitegemee kuwa atakujibu hiyo na ukaridhika. Kwakuwa kila mtu ana uhuru wa mawazo na inabidi tuyaheshim wewe wavumilie tuu ndio watani wetu hatuna jinsi
Hatuwataki hao vikongwe wenu!!!Turudishieni Ajibu tuwape Niyonzima, Okwi na Kagere.
Hata sielewi ulichoandika ni nini? Yanga kikosi chetu kipo kamili hicho kikosi kipana unachozungumzia ni kipi?Vipi kikosi kipana hakipo tena? Mbona mnalialia sana?
Mimi nimewauliza Simba ebu soma vizuri mkuu!!!Hata sielewi ulichoandika ni nini? Yanga kikosi chetu kipo kamili hicho kikosi kipana unachozungumzia ni kipi?
Rejea msimu wa ligi uliopita........Sijawahi kuona ratiba mbovu kama hii ya Tanzania... yani timu inacheza mechi 7 sijui 8 mfufulizo kwenye uwanja wa nyumbani! Hii ni aibu sana kwa Tanzania nzima na kwa kila mpenzi wa soka hapa nchini...
HiyoClip za magoli plz
Who the hell is him??Ni nchi gani duniani ishawahi kuwa na ratiba kama hii?? Ndio maana magufuli anaudharau mpira wetu