Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 726
- 320
anga 1 Azam 1
matokeo ya mwisho imekuwaje kwa watani zetu Makandambili!! wamepigwa ngapi?? halafu nyie Yanga mmejifunzia wapi mpira badala ya kupiga mpira mnarushia ngumi mwamuzi!!?
tupeni matokeo kamili, wenzenu tulikua arumeru. hapa ndo umuhimu wa crushwise unakuwepo.
wachezaji wa tanzania nidhamu itawagharimu popote pale watakapo kwenda,kosa la kupiga mwamuzi....