Kuna wana msimbaz damu....hapa mtaani ....huwa hawashangilii ushind was Simba....coz wanajua kinachotokeaAmini usiamini ile mechi ya jana imechezwa ba makolo. Haiwezekani move zote za magoli ya wazi zinnauliwa, huku wao wakishangilia kupewa penalt ya mchongo baadae kujitokeza na kuikejeli yanga et ni mbovu.