Uto ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Biashara (Ugenini) - Kashinda..
Azam (Nyumbani) - Kashinda...
Uto (Nyumbani) - Kafungwa....
Uto ni mzigo wa mavi mamaeeeeee.....
Ivi marudiano tarehe ngapembu tuwe serias kdg haw ndugu zety wako wap siwaoni humu
Ndio, Yanga watakuja kwetu Nigeria mechi ya marudiano.zimepungua basi tutawapiga 4-0.Kwani si kuna mechi ya marudianao!
Wazo zuri.Mnaonaje serikali ichukueni nauli ya yanga ambayo ingetumika kwenda nigeria ipelekwe kwenye tozo?
biashara asubuhiKwani si kuna mechi ya marudianao!