Yanga Vs Simba: Martin Sanya na msaidizi wake wafungiwa miaka miaka miwili, kadi nyekundu yafutwa

Status
Not open for further replies.

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Mwamuzi wa kati aliyecheza mechi ya watani wa jadi (Yanga vs Simba), Martin Saanya, pamoja na msaidizi wake, wamefungiwa miaka miwili huku Nahodha wa Simba, Jonas Mkude akifutiwa adhabu ya kuzawadiwa kadi nyekundu.

Kama mdau wa michezo umeipokeaje taarifa hii?
 
Maamuzi mabaya hayawezi kukomeshwa Kwa hilo tuu, kuna mechi za mikoani za timu ndogo watu huonewa wazi wazi kabisa, ligi daraja la kwanza ndio inakera yaani figisu nje nje
*Tff watafute long term plan ya kuzuia uchzeshaji wa ajabu wa marefa
 
Waturejeshee goli letu la Ajibu, wafute goli la bafuni, hao waamuzi wachunguzwe account zao na ndugu/marafiki wao wakaribu.
 
Si haba japo tff nao ilipaswa wawajibike kumanga refa dhaifu aliye wahi kuharibu hapo nyuma. Kwani inasemekana ndiye aliharibu huko tanga msim uliopita!
 
Si haba japo tff nao ilipaswa wawajibike kumanga refa dhaifu aliye wahi kuharibu hapo nyuma. Kwani inasemekana ndiye aliharibu huko tanga msim uliopita!
WAZEE WA KUBEBWA IFIKE MAHALI WAONE AIBU
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…