Mimi ni mnazi wa Simba lakini nimeota jana Mechi itaisha kwa droo ya 1-1
Simba wataanza kufunga alafu Yanga watasawazisha. Mwishoni Simba watapata penalty ambayo bahati mbaya wataipoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndoto ni ya kutisha kama jinamizi mwenyezi ifutilie mbali simba Sc ushindi lazimaMimi ni mnazi wa Simba lakini nimeota jana Mechi itaisha kwa droo ya 1-1
Simba wataanza kufunga alafu Yanga watasawazisha. Mwishoni Simba watapata penalty ambayo bahati mbaya wataipoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba 4 - 1 Yanga.Kuelekea mechi ya watani wa Jadi, Yanga dhidi ya Simba Jioni ya tar 16/02/2019 Uwanja wa taifa, Dar es salaam
Weka ubashiri wako hapa ukiweka mbali ushabiki na mahaba kwa timu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.Kuna mademu wamejitolea kuwa mboga kuna mtu ana namba zao? naona wana hamu ya kutiwa
Hivi viroba si vimepigwa ban wakuu mbona kuna watu kama bado wana access na hivi vitu?Hivi ndivyo tulivyoambiwa na kamati ya ufundi. Mpira wameshaangalia watu. Shoot la chini chini ndo linamaliza ubishan wa mechi hii.