Yanga vs Toto; Simba vs Majimaji - ni mwisho mtamu!

Yanga bingwa....Toto atapigwa magoli mengi sana.....
 

Mtazamo wako ndugu upo kimahesabu zaidi kuliko kisoka.
Simba wakiwa nyumbani walipigwa 4-0 na Mufurila ya Zambia
Wakiwa ugenini wakashinda 5-0

Yanga wakiwa nyumbani walipata sare na Highlander ya Zimbabwe
Wakiwa ugenini wakashinda 2 - 0

Schalke 04 ya Ujerumani wakiwa ugenini wakaisigina Inter Milan 5-2
Kwa hiyo ktk soka, uwanja wa nyumbani au ugenini unaweza usisaidie kukupa ushindi
 
Wakifunga magoli mengi tff itawapiga rungu..

Toto 0 - 4 yanga
simba 3 - 1 majimaji

matokeo yakiwa tofauti ya hayo yataleta shida sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…