tunahamia dodoma
Senior Member
- Jan 23, 2017
- 119
- 81
Chanzo ni mke wakeChanzo cha taarifa!!
"Amewasisiza" "sepeti" "serimali"[emoji1]Timu ya Yanga sc wameanzisha mgomo wa kutoshinda hadi Serikali itakopofuta kesi inayomkabili kiongozi wao mkuu bwana Yusufu manji ya utumiaji wa mapoudaaaaa.
Hi kwa mujibu wa msemaji mkuu wa timu hiyo ambae amwasisiza kuwa kikomo cha mgomo huo ni pale tu Serikali itakapofuta kesi dhidi ya kiongozi wao huyo.
Na kwa kauli moja amesema wanaungana na mwana mitindo wema sepeti ili kuikomoa serikali na chama tawala hadi hapo serimali itaposikiliza kilio chao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chanzo ni mke wake
Kwani yanga wote ni ccm?Timu ya Yanga sc wameanzisha mgomo wa kutoshinda hadi Serikali itakopofuta kesi inayomkabili kiongozi wao mkuu bwana Yusufu manji ya utumiaji wa mapoudaaaaa.
Hi kwa mujibu wa msemaji mkuu wa timu hiyo ambae amwasisiza kuwa kikomo cha mgomo huo ni pale tu Serikali itakapofuta kesi dhidi ya kiongozi wao huyo.
Na kwa kauli moja amesema wanaungana na mwana mitindo wema sepeti ili kuikomoa serikali na chama tawala hadi hapo serimali itaposikiliza kilio chao.
Kwani ccm wote ni yanga?????Kwani yanga wote ni ccm?
Kwani kijani na njano wote ni CCM?Kwani ccm wote ni yanga?????
Ndio maana viroba vimezuiwa!Timu ya Yanga sc wameanzisha mgomo wa kutoshinda hadi Serikali itakopofuta kesi inayomkabili kiongozi wao mkuu bwana Yusufu manji ya utumiaji wa mapoudaaaaa.
Hi kwa mujibu wa msemaji mkuu wa timu hiyo ambae amwasisiza kuwa kikomo cha mgomo huo ni pale tu Serikali itakapofuta kesi dhidi ya kiongozi wao huyo.
Na kwa kauli moja amesema wanaungana na mwana mitindo wema sepeti ili kuikomoa serikali na chama tawala hadi hapo serimali itaposikiliza kilio chao.
Viloba vikizuiwa ndiyo Yanga itaishinda Simba?Ndio maana viroba vimezuiwa!
Kwani ili uwe ccm ni lazima uvae kijani na njano????Kwani kijani na njano wote ni CCM?