mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Watanzania tubadilike .Viongozi wa Yanga baada ya kutua uwanja wa ndege Leo wamekuja Na rundo la utetezi eti wachezaji wao walipuliziwa Dawa za usingizi.Nilitegemea kuwa kama hilo lilifanyika nilitarajia Yanga wasingecheza mechi ile kwani wachezaji wangekuwa wameathirika Na kusinzia uwanjani.Badala yake tunasikia Yanga imecheza mpira mzuri.Wadau tunajiuliza iweje wapuliziwe Dawa halafu wacheze vizuri?Kauli za hao viongozi in visingizio .Ni vema tukakubali kushindwa .Uongo haufai hats Mh.Magufuli alimtungua Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Kwa kusema UONGO.[/QUOT waarabu ndo mchezo wao,sudan walitufanyia kufuzu CHAN,stars ikagoma kuingia vyumbani,tukashinda 2-1,kama uliangalia mpira wa yanga utakumbuka palikua na zogo mwanzo kipind cha pili
Haha! Kamati ya ufundi nayo ni jipuhapa bongo walipuuliziwa nini mbona hawakufunga..
Hata Ronaldo de Lima kwenye World Cup 1998 Ufaransa alifanyiwa mbaya na akacheza lakini chini ya kiwango.
Acha mambo ya ajabu ubora wa kikosi cha ufaransa 98 unaujua ? Walijiandaa kuchukua kombe mpira mchezo wa hadharani brasil anakufa 3 unasema ronaldo?Hata Ronaldo de Lima kwenye World Cup 1998 Ufaransa alifanyiwa mbaya na akacheza lakini chini ya kiwango.
kwa issue ya Ronaldo utakua mbishi tu fanya utafitiAcha mambo ya ajabu ubora wa kikosi cha ufaransa 98 unaujua ? Walijiandaa kuchukua kombe mpira mchezo wa hadharani brasil anakufa 3 unasema ronaldo?
Kwahiyo Yanga walipuliziwa au hawakupuliziwa, hebu soma vizuri maelezo ya mleta mada alafu jibu kuhusu, yanga sio TP Mazembe ambao kwa maelezo yako waligundua mtego. Jibu hili la Yanga ambao waliingia kwenye mtego Na bado wamecheza vizuri kwa kiwango chetu.TP Mazembe washawi fanyiwa hujuma katika vyumba vya mapumziko waliishia koridoni kilichofuata ni faini jamaa wana fitina Egypty kwa sasa mpira hakuna bhana..