marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Msimu wa 2020-2021 umeshapata bingwa ambae ni Simba sc ,na hii ni mara ya 4 mfululizo simba sc anakua bingwa wa ligi kuu Tanzania bara.
Licha ya kua mabingwa mara 4 Simba hawaomeshi dalili za kupungua makali kwenye kutetea ubingwa msimu ujao
Kama mdau wa soka na micheza Tanzania unadhani Yanga wanahitaji kufanya nini ili kutamatisha ama kivunja huu mfululizo wa Simba kua mabingwa mfululizo na kombe walichukue wao?
Licha ya kua mabingwa mara 4 Simba hawaomeshi dalili za kupungua makali kwenye kutetea ubingwa msimu ujao
Kama mdau wa soka na micheza Tanzania unadhani Yanga wanahitaji kufanya nini ili kutamatisha ama kivunja huu mfululizo wa Simba kua mabingwa mfululizo na kombe walichukue wao?