Yanga wafanye nini ili wapate ubingwa msimu ujao

Waachane na Mze Mpili, pia waachane kabisa na masuala ya uchawi maana wamezidi jamani. Umeona wapi timu yote inadhaminiwa uchawi na serikali ya CCM, viongozi wa CCM wanaitafutia timu wachawi.....si ujinga huu?
 



mafikiri ungesema team zingine zifanye nn kuwa challange Simba kwenyw Ubingwa.. basi walau ungewaweka na Azam..

kwa nn mnafanya kama vile mpira wa Bongo hati miliki wanazo yanga na simba.. ili ligi yetu iendelee lazima wengine wanyanyuliwe kiasi... vizaz hivi vichanga vinatakiwe vijue kuna zaid ya Simba na Yanga

vinginevyo malalamiko ya kupendelewa kwa hivi vilabu hayataisha... maana kila mtu automaticaly anahis kuwa kama haupo simba basi upo Yanga

ndo maana maamuzi Mengi ya Soka humu yakitolewa yanatolewankw akubalance Simba na Yanga..

watu wanasema marefa wabovu sababu ya mechi wanazocheza Simba au Yanga.. ila hakuna team wanataabika na marefa kama team za chini
 
Waache tu kuwa Wapumbavu na Wanga.
 
Wewe huu utani hebu wapishe wahusika kwanza mkuu...
Karibu siku nyingine kuleta ajenda yako! Sawa mkuu?
 
Japo sina uhakika kama kesi ipo, ila kama ipo na Yanga atashinda Simba hakwepi hio adhabu maana alitakiwa kujiridhisha kama kweli mchezaji hana mkataba ndio amsajili
 
Tuwapiku simba kwenye kununua mechi,kuhonga waamuzi na tupate rais wa tff mwanachama wa yanga
 
Waachane kudili na watu dizaini ya Mze Mpili na Mshana Jr
 
Yanga imepitia kipindi kigumu sana,hii ni kutokana na hujuma za nje na ndani ya uwanja.Hali hii ilipelekea YANGA kutishia kugomea ligi,nakiri kwamba T.F.F. iliwatoa mchezoni.
🤣😂 Kwamba TFF ilimtoa mchezoni Sarpong! 😂
 
Wewe huu utani hebu wapishe wahusika kwanza mkuu...
Karibu siku nyingine kuleta ajenda yako! Sawa mkuu?



sasa mkuu utan gani tena hapo.. hatukatai 10 yrs back to back lakin kila msiba una waombolezaji.. sasa kwenye mada katajwa Yanga tu kama
victim pekee wakat wengine wapo hii sio FEA... wamezama wengi kwa nn aonekane Yanga tu ndo kazama[emoji3] au kwasababu yeye ndo alikuwa napiga sana kelele
 
Yanga ili itwae ubingwa msimu ujao, ni budi ifanye usajili utaoweza kuziba mapungufu yao machache.

Imchukue Jonas Mkude, Ibrahim Ajib na beki ya kati mmoja kisha imrudishe kundini Makambo
 
sasa mkuu utan gani tena hapo.. hatukatai 10 yrs back to back lakin kila msiba una waombolezaji.. sasa kwenye mada katajwa Yanga tu kama
victim pekee wakat wengine wapo sio FEA... wamesama wengi kwa nn aonekane Yanga tu ndo kazama[emoji3]
Hahahaaa,,, Tatizo Yanga wanajifanya wajuaji
 
yanga kulipata kombe labda waliibe na kutoka nalo ndukiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…