DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Leo hii wamefoji barua inayosomeka kuwa imeandikwa na mchezaji wa Azam FC Abubakar Salum 'sureboy' na kuiwasilisha katika uongozi wa Azam FC, ambapo lengo la barua hiyo ni kuishawishi uongozi wa Azam FC umwache mchezaji huyo, lakini uongozi wa Azam ulipomuuliza mchezaji wao Sureboy ameikana barua hiyo kuwa haitambui,
Cha kushangaza barua hiyo imeandikwa tarehe ya kesho yaani 12/8/2020 na kupelekwa leo katika ofisi za Azam, wakati leo ni tarehe 12[emoji23], huku barua hiyo ikiwa imepelekwa ofisini hapo na kiongozi wa Yanga SC[emoji23]
Uongozi wa Azam kupitia Afisa habari wao umeomba uongozi wa Yanga ujitokeze hadharani na kuomba radhi, kinyume na hivyo watawafungulia kesi TFF ya kujaribu kumrubuni mchezaji wao ambaye ana mkataba halali na klabu wa mwaka 1 bila kuwashirikisha wao kama uongozi wa Klabu.
NB: ukishazoea kula nyama ya mtu, huwezi acha[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Source: kipindi cha michezo U LIVE.
View attachment 1534302
Cha kushangaza barua hiyo imeandikwa tarehe ya kesho yaani 12/8/2020 na kupelekwa leo katika ofisi za Azam, wakati leo ni tarehe 12[emoji23], huku barua hiyo ikiwa imepelekwa ofisini hapo na kiongozi wa Yanga SC[emoji23]
Uongozi wa Azam kupitia Afisa habari wao umeomba uongozi wa Yanga ujitokeze hadharani na kuomba radhi, kinyume na hivyo watawafungulia kesi TFF ya kujaribu kumrubuni mchezaji wao ambaye ana mkataba halali na klabu wa mwaka 1 bila kuwashirikisha wao kama uongozi wa Klabu.
NB: ukishazoea kula nyama ya mtu, huwezi acha[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Source: kipindi cha michezo U LIVE.
View attachment 1534302