safariwafungo Senior Member Joined Apr 26, 2008 Posts 116 Reaction score 51 Oct 15, 2010 #1 Ni vute ni kuvute mara wachezaji wamenywanganywa simu mara kambi ulinzi mkali yanga kunako Kirumba majira ya saa kumi tarehe ya 2010-10-16, je yanga watachomokoa mbele ya mnyama aliyetuka kwenye swaumu au ndo atageuzwa kitoweo? Attachments P6220100.JPG 42.2 KB · Views: 47
Ni vute ni kuvute mara wachezaji wamenywanganywa simu mara kambi ulinzi mkali yanga kunako Kirumba majira ya saa kumi tarehe ya 2010-10-16, je yanga watachomokoa mbele ya mnyama aliyetuka kwenye swaumu au ndo atageuzwa kitoweo?
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Oct 15, 2010 #2 Yanga wataondoka na Ushindi wapi Baba _Enock?
Fidel80 JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 21,947 Reaction score 4,470 Oct 15, 2010 #3 Mpaka sasa Tayari Simba kesha lia 3-0 hakuna ubishi kesho Simba lazima alowe.
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Oct 15, 2010 #4 wapi shekhe yahaya awape ushindi usioonekana?