Yanga walimtaka Big atoke uwanjani ili timu ipate goli

Baadhi ya mijitu ya Simba siyo mijinga tu bali ni mipumbavu na mishenzi pamoja...yaani shabiki liko kwenye mechi isiyolihusu halafu linatamba eti tumekuja kuhakikisha Yanga inafungwa...Sasa unadhani wenye Yanga watafanya Nini?!
 
Sasa hivi ukimquote mtu wa utopolo, ndala, yeboyebo, mbwa, nyani, usisahau emoji hizi[emoji2187][emoji2187][emoji119][emoji120][emoji2089][emoji2089][emoji2088][emoji2088][emoji2222] la sivyo utachezea vitasa mpaka ufe, dawa ni kuyatania alafu unatoka nduki.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mambwa hayooooo [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Baadhi ya mijitu ya Simba siyo mijinga tu bali ni mipumbavu na mishenzi pamoja...yaani shabiki liko kwenye mechi isiyolihusu halafu linatamba eti tumekuja kuhakikisha Yanga inafungwa...Sasa unadhani wenye Yanga watafanya Nini?!

Sasa akisema hivyo shida iko wapi? Mbona kwenye mabanda ya mpira mashabiki wa timu tofauti tunakaa pamoja na kunakuwa na maneno ya karaha mengi na utani
 
Baadhi ya mijitu ya Simba siyo mijinga tu bali ni mipumbavu na mishenzi pamoja...yaani shabiki liko kwenye mechi isiyolihusu halafu linatamba eti tumekuja kuhakikisha Yanga inafungwa...Sasa unadhani wenye Yanga watafanya Nini?!
We ndio mpumbavu kiwango cha PhD.Mechi ni burudani kwa wote mashabiki na wasio mashabiki.Basi inabidi pale mkapa yanga ikicheza watu wawe na kadi maalumu za mashabiki wa yanga ili waingie yanga tu.umeandika utopolo na unatoka utopolo sc
 
We ndio mpumbavu kiwango cha PhD.Mechi ni burudani kwa wote mashabiki na wasio mashabiki.Basi inabidi pale mkapa yanga ikicheza watu wawe na kadi maalumu za mashabiki wa yanga ili waingie yanga tu.umeandika utopolo na unatoka utopolo sc
Umeonyesha ujinga na upumbavu na pia ushenzi pamoja....kuingia uwanjani siyo issue hapa ..suala hapa ni kutangaza kufanya hujuma kwa timu nyingine...huu ndio ushenzi na ujinga pamoja na upumbavu....
 
Kindoki alishaingia mara nyinyi na romote ya kuchezea play station kwenye mechi nyingi za Simba na kutamba wazi kabisa kwamba amekuja nacho ili Simba isishinde.
Na kusema akiwa kiwanjani anabonyeza kibatan cha remote hiyo na Simba haishindi ng'o.
Na anatamba wazi kabisa huku amezungukwa na washabiki wa Simba na hafanywi kitu.
Yanga lazima mkubali kuwa kwa sasa mna Frustration za kukosa ubingwa mara tatu mfululizo.
Kumkosa Morrison nk.
 
Umeonyesha ujinga na upumbavu na pia ushenzi pamoja....kuingia uwanjani siyo issue hapa ..suala hapa ni kutangaza kufanya hujuma kwa timu nyingine...huu ndio ushenzi na ujinga pamoja na upumbavu....
Hujuma zinafanywa na mtu ambaye hachezi? Au jamaa kusema hivyo maana yake ni kweli wasingeshinda?

Au Yanga bado wanaamini Ushirikina na sio kucheza mpira?
 
Hujuma zinafanywa na mtu ambaye hachezi? Au jamaa kusema hivyo maana yake ni kweli wasingeshinda?

Au Yanga bado wanaamini Ushirikina na sio kucheza mpira?
Kutamka maneno hayo haijalishi Kama ni kweli au uongo...mradi umetamka basi hilo ni kosa...Soma sheria...penal code...ukimtamkia mtu Kama nitakua haijalishi Kama kweli utamuua au hutamuua...ni kosa moja kwa moja...Sasa basi mwanasimba mmoja amerikodiwa anasema tumekuja hapa kwa lengo moja tu kuihujumu Yanga kuhakikisha kuwa haishindi...na anaendelea kutamba kuwa wataendelea kufanya hivyo Kila mechi...Sasa huyo alipaswa kuhojiwa na polisi pamoja na TFF...
 
Baadhi ya mijitu ya Simba siyo mijinga tu bali ni mipumbavu na mishenzi pamoja...yaani shabiki liko kwenye mechi isiyolihusu halafu linatamba eti tumekuja kuhakikisha Yanga inafungwa...Sasa unadhani wenye Yanga watafanya Nini?!
"Simba chuo kikuu cha mpira Tanzania" Bernad Morrison
 
Baadhi ya mijitu ya Simba siyo mijinga tu bali ni mipumbavu na mishenzi pamoja...yaani shabiki liko kwenye mechi isiyolihusu halafu linatamba eti tumekuja kuhakikisha Yanga inafungwa...Sasa unadhani wenye Yanga watafanya Nini?!
Dawa ni kuwapasua tu wapuuzi hawa
 
Umeonyesha ujinga na upumbavu na pia ushenzi pamoja....kuingia uwanjani siyo issue hapa ..suala hapa ni kutangaza kufanya hujuma kwa timu nyingine...huu ndio ushenzi na ujinga pamoja na upumbavu....

Kwani kuna Mshabiki anayeingia Uwanjani na Kuitakia mema Timu pinzani?
 
Umeonyesha ujinga na upumbavu na pia ushenzi pamoja....kuingia uwanjani siyo issue hapa ..suala hapa ni kutangaza kufanya hujuma kwa timu nyingine...huu ndio ushenzi na ujinga pamoja na upumbavu....
Malalamiko SC,simba ikishinda wamebebwa,yanga ikifungwa imehujumiwa,lkn ikipata matokeo mazuri Ni halali.Jengeni mfumo wa timu yenu mpate matokeo bora.

Mkiendelea na mawazo yenu hayo ,nawaambia baada ya muda mfupi ujao Simba itakuwa km Bayern Munchen pale ujerumani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…