Yanga walitoa somo la ubaya wa staili ya Feitoto, Simba walishangilia

Yanga walitoa somo la ubaya wa staili ya Feitoto, Simba walishangilia

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kwenye haya mambo ya termination of contracts Yanga walikuwa smart sana ila makolo mlikaza vichwa.

Turudi [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Yanga sc waliwatadhalisha kwenye sakata la FEI TOTO kuwa kama mchezaji ataondoka klabuni kwa mfumo wa FEI TOTO basi wachezaji wengi wataondoka kwa mfumo huo huo, hawatoiheshimu mikataba.

Mapenzi yalipozidi uhalisia tukaona FEI TOTO yupo sahihi kuondoka kwa mfumo wa kurudiaha fedha.

Sasa hivi wachezaji hawaiheshimu mikataba yao.

DUBE to Yanga SC.
AWESU AWESU to Simba SC Tanzania
LAMECK LAWI kasaini Simba SC. Tanzania yupo ubelgiji.
KIBU DENIS kasaini Simba anaelekea anga zingine za kimataifa.

Ishu si nikurejesha fedha tu? Acha warejeshe.
 
LAMECK LAWI kasaini Simba SC. Tanzania yupo ubelgiji.
KIBU DENIS kasaini Simba anaelekea anga zingine za kimataifa.

Ishu si nikurejesha fedha tu? Acha warejeshe.
Kwa mawazo yako Lawi na Kibu wameacha mapengo Simba? Sana sana wataiongezea mapato Simba, maana watapata timu huko halafu Simba itapanga bei. Inawezekana umekariri kuwa kila mkataba unaeleza kurejesha fedha za usajili 🤣 🤣 🤣
 
Kwa mawazo yako Lawi na Kibu wameacha mapengo Simba? Sana sana wataiongezea mapato Simba, maana watapata timu huko halafu Simba itapanga bei. Inawezekana umekariri kuwa kila mkataba unaeleza kurejesha fedha za usajili 🤣 🤣 🤣
Kwamba,kibu de Bado anamkataba na simba? Simba haiwezi ikanufaika kwa chochote kile maana mchezaji ni free agent,labda nieleweshe vzr simba inanufaikaje na kuondoka kwa kibu?
 
Kwamba,kibu de Bado anamkataba na simba? Simba haiwezi ikanufaika kwa chochote kile maana mchezaji ni free agent,labda nieleweshe vzr simba inanufaikaje na kuondoka kwa kibu?
Ukishaanguka saini ujue umeshajifunga. Uliza kwa nini TFF wamewaambia Coastal union wakae kuzungumza na Simba, kwa kuwa hata Lawi alishaanguka saini. Mchawi hapo ni signature, hata kama umeenda bure bila kulipwa 😁
 
Kwa mawazo yako Lawi na Kibu wameacha mapengo Simba? Sana sana wataiongezea mapato Simba, maana watapata timu huko halafu Simba itapanga bei. Inawezekana umekariri kuwa kila mkataba unaeleza kurejesha fedha za usajili [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Yaaah mkuu....acha liwakute
 
Kwamba,kibu de Bado anamkataba na simba? Simba haiwezi ikanufaika kwa chochote kile maana mchezaji ni free agent,labda nieleweshe vzr simba inanufaikaje na kuondoka kwa kibu?
Kwa kweli wape elimu
 
Simba si ving'ang'anizi wa wachezaji kulinganisha na Yanga..
Anataka kwenda na ende.. Inaangaliwa sheria inasemaje..
 
Faitoto Yanga hawakutegemea maana alikuwa mchezaji tegemezi, ndo maana wakang'ang'ania kama siyo Mama Samia mgetoana damu. Kibu hana pengo Simba kwanza mchezaji hana hata ball control
 
Faitoto Yanga hawakutegemea maana alikuwa mchezaji tegemezi, ndo maana wakang'ang'ania kama siyo Mama Samia mgetoana damu. Kibu hana pengo Simba kwanza mchezaji hana hata ball control
Mbona sasa viongozi wenu wamepagawa
 
Back
Top Bottom