Msisahau ni Kombe la Shirikisho wanakoenda. Huko huko anakolilia Matopeni baada ya honga honga maana ilikuwa ang'olewe Azam FA cup baada ya mechi ya Ndanda
Kesho wanacheza na Madini kutafuta uwakilishi wa Kombe hilo hili la "shaba"
Muwe na akiba ya maneno!