Yanga wamebadilisha dhahabu kwa shaba

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kumuacha Mholanzi haikuwa sahihi kwa kipindi hiki
 
Ni sahihi kabisa binafsi naunga mkono
 
Wametema big g kwa karanga za kuonjeshwa
 
Tatizo sio coach.....timu haina fedha..Manji yuko jail cell
 
Yanga bado ni timu bora na imara,kilichotokea ni masuala ya kiufundi tu,bado naipenda yanga yangu.
 
Walikosa sehemu ya mazoezi ndo tatizo kubwa lililiwafelisha....

Aliyeelewa ameelewa
 
Msisahau ni Kombe la Shirikisho wanakoenda. Huko huko anakolilia Matopeni baada ya honga honga maana ilikuwa ang'olewe Azam FA cup baada ya mechi ya Ndanda
Kesho wanacheza na Madini kutafuta uwakilishi wa Kombe hilo hili la "shaba"
Muwe na akiba ya maneno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…