Ni kama Yanga wameamua kuwa wanyonge nyuma ya Simba. Yaani kesho mechi kubwa lakini utazani mechi itachezwa mwezi ujao!! Sjui chanzo cha unyonge huu ni nn. Ni Zahera pekee ndio kabaki na imani na timu. Wengine bardiiiiiiiii!!!!
Yanga siku zote wanaingia kwa tahadhari kwakua wanauzoefu na michuano ya CAF , hawana maneno mengi ila wazee wa mchangani uwa wanakurupuka ndiomaana wamerudi eneo lao mchangani.Ni kama Yanga wameamua kuwa wanyonge nyuma ya Simba. Yaani kesho mechi kubwa lakini utazani mechi itachezwa mwezi ujao!! Sjui chanzo cha unyonge huu ni nn. Ni Zahera pekee ndio kabaki na imani na timu. Wengine bardiiiiiiiii!!!!
Ni kama Yanga wameamua kuwa wanyonge nyuma ya Simba. Yaani kesho mechi kubwa lakini utazani mechi itachezwa mwezi ujao!! Sjui chanzo cha unyonge huu ni nn. Ni Zahera pekee ndio kabaki na imani na timu. Wengine bardiiiiiiiii!!!!
Ni kama Yanga wameamua kuwa wanyonge nyuma ya Simba. Yaani kesho mechi kubwa lakini utazani mechi itachezwa mwezi ujao!! Sjui chanzo cha unyonge huu ni nn. Ni Zahera pekee ndio kabaki na imani na timu. Wengine bardiiiiiiiii!!!!
Ila kweli yanga ni wataalamu sio wapayukaji.kuna tofauti kubwa kati ya timu ya wataalamu wa soka na wapayukaji kwenye soka!
Acha kitafuta sifa kupitia YangaNi kama Yanga wameamua kuwa wanyonge nyuma ya Simba. Yaani kesho mechi kubwa lakini utazani mechi itachezwa mwezi ujao!! Sjui chanzo cha unyonge huu ni nn. Ni Zahera pekee ndio kabaki na imani na timu. Wengine bardiiiiiiiii!!!!