upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Takwimu zinaibeba Yanga, mechi za derby za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga
Mwamuzi Ahmed Arajiga amechezesha michezo minne ya derby kati ya Yanga na Simba, ambapo Yanga wameshinda mechi tatu na moja Simba.
Hizi ni takwimu za matokeo ya michezo aliyochezesha Arajiga:
Yanga 2-1 Simba (20/4/2024) - Ligi Kuu.
Simba 1-5 Yanga (5/11/2023) - Ligi Kuu.
Yanga 1-0 Simba (28/5/2022) - Nusu Fainali FA.
Yanga 0-1 Simba (25/7/2021) - Fainali FA.
Mwamuzi Arajiga atakuwa kati ya dimba tena katika mchezo ujao wa derby tarehe 8/3/2025.
Soma, Pia
Mwamuzi Ahmed Arajiga amechezesha michezo minne ya derby kati ya Yanga na Simba, ambapo Yanga wameshinda mechi tatu na moja Simba.
Yanga 2-1 Simba (20/4/2024) - Ligi Kuu.
Simba 1-5 Yanga (5/11/2023) - Ligi Kuu.
Yanga 1-0 Simba (28/5/2022) - Nusu Fainali FA.
Yanga 0-1 Simba (25/7/2021) - Fainali FA.
Mwamuzi Arajiga atakuwa kati ya dimba tena katika mchezo ujao wa derby tarehe 8/3/2025.
Soma, Pia