Yanga wana timu tishio sana

Yanga wana timu tishio sana

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Kama kocha wa yanga atazichanga karata zake vizuri next season kwenye mashindano ya afrika Caf champions league

Nawaona yanga kwenye anga za ajax 2019 ambayo ilisumbuwa vigogo Kama Real Madrid na wengine.

Inawezekana wengi wenu wanaweza kuona yanga wana timu ya kawaida kutokana na aina ya wachezaji ambao wanao wengi wao hawana majina makubwa barani afrika au wametoka kwenye timu za kawaida au walikuwa wanasugua benchi last season.

Lakini nataka ni waambie kuwa yanga wana timu tishio kwa vigogo wakiendelea kucheza huu mpira wa kushambulia kwa kasi kuna watu watapoteza nje ndani

IMG_0257.jpg
 
Kama kocha wa yanga atazichanga karata zake vizuri next season kwenye mashindano ya afrika Caf champions league

Nawaona yanga kwenye anga za ajax 2019 ambayo ilisumbuwa vigogo Kama Real Madrid na wengine.

Inawezekana wengi wenu wanaweza kuona yanga wana timu ya kawaida kutokana na aina ya wachezaji ambao wanao wengi wao hawana majina makubwa barani afrika au wametoka kwenye timu za kawaida au walikuwa wanasugua benchi last season.

Lakini nataka ni waambie kuwa yanga wana timu tishio kwa vigogo wakiendelea kucheza huu mpira wa kushambulia kwa kasi kuna watu watapoteza nje ndani

View attachment 2697383
Kabisa....
 
Mm ni YANGA ila msimu huu YANGA hatuna timu
Una akili. Kati ya wale 2 aliosema Manara wewe utakuwa was 3. Yanga msimu huu ni roho mkononi. Eti watu waliangalia mechi ya siku ile moja Tena friendly match waka-conclude kuwa no hatari. Ngoja tusubiri tuone.
 
Una akili. Kati ya wale 2 aliosema Manara wewe utakuwa was 3. Yanga msimu huu ni roho mkononi. Eti watu waliangalia mechi ya siku ile moja Tena friendly match waka-conclude kuwa no hatari. Ngoja tusubiri tuone.

Mda utaongea wewe subiri utaona
 
Musonda anaingia mala 40 kwa Mayele.

MAYELE ALIIBEBA YANGA kwa asilimia 60.

Mafanikio ya yanga ni Mayele.
 
Pamoja na kukamia kwako kote ila ulishia kupata ushindi wa 1-0 dhidi ya kaizer chiefs u20 halafu ndio uote kuja kuwasumbua al ahly kweli?
LUC EYMAEL APEWE MAUA YAKE.
 
Nakubaliana nawe!
Timu hii ni kati ya timu bora kabisaaa hapa nchini.
Yanga watasumbua
 
Back
Top Bottom