Yanga wanaizungumzia Yanga, Simba wanaizungumzia Yanga, Azam wanaisemea Yanga...

Yanga wanaizungumzia Yanga, Simba wanaizungumzia Yanga, Azam wanaisemea Yanga...

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Ukistaajabu ya kule utayaona ya huku, yes Yanga imekua topic mjini na vijijini, walipata kusema mti wenye matunda ndio hupigwa mawe na ule usio zaa au kuwa na matunda hukatwa kabisa.

Yanga ni mti wenye matunda tena matamu sana watoto wote wa kijijini wamekusanyika kurokota matunda matamu kwenye mti unaoitwa Yanga.

Hii Yanga hii kila sehemu ni Yanga kila kona ni Yanga, sio kwa wanayanga wenyewe, sio kwa Wanasimba tena hawa ndio zaidi, wala sio kwa wanaAzam jina Yanga halikauki midomoni mwao ni Yanga Bingwa, Yanga wana medali 4, Mayele anatakiwa na Kaizer, Pitso Mosimane anakuja Yanga, Ibenge anakuja Yanga, hakika ni habari tamu na nzuri tu hata kama ni tetesi.

Ukiingia Fb kila chanzo cha habari kupata attention lazima waje na mastory ya Yanga hata humu Jf angalia kurasa za michezo 99% ni habari tamu na kuvutia za Yanga.

Sijaona tetesi za Chama au Saido kutakiwa hata na Kitayose au Majimaji njoo kwa Yanga sasa wanatamani hata kuinunua timu nzima ya Yanga hili halikuja vuup kama volcano [emoji291] nop ni nguvu, akili, pamoja na uwekezaji wa nguvu sana chini ya GSM yes [emoji106] wamepiga kazi.

Tunaruhusu kuendelea kuisemea Yanga kwani ndio timu bora kwa sasa timu yenye medali 4 itakua ngumu sana kuacha kuisema timu yenye medali 4 tena moja ya kimataifa na kuanza kuisemea timu iliyotoka kapa bila chochote kitu.
 
MDAU - KILA KITU YANGA, WENGINE HAMUWAONI...!

✍️ Kaandika mdau wa soka, Ole Mushi !

"KWA NINI WACHEZAJI WA SIMBA HAWAULIZIWI NA TIMU KUBWA ZA NJE?"

"Sijasikia mchezaji hata mmoja wa Simba SC kutakiwa kununuliwa na timu za nje. Karibia wachezaji wote wa Yanga SC timu za nje zimetuma maombi ya kuwataka. Haya nayo ni mafanikio." - Thadei Ole Mushi

"Waandishi wote wa Habari nchini wamegeukia kuangalia transfer za Yanga SC na ndio CONTENT pekee inayouzika kwa sasa kwenye michezo nchini. Hii ndio tafsiri ya Club kubwa nchini….."

"Mashabiki wote wa Simba wana akili ya Kuku kukimbilia kwa jirani wakati anafukuzwa na mfugaji wake lakini jioni hurejea kwa mfugaji amfungulie banda alale. Nasema hivi kwa sababu mashabiki hawa wanafurahia wachezaji wa Yanga kutaka kusajiliwa nje ya nchi"

"Niwakumbushe tu kuwa hata walipowasajili hao wachezaji (2021) Simba walisema Yanga inataka kufungua Bendi ya kikongo. Na kweli Bendi hii ya kikongo imetutetemesha kuanzia Msimbazi hadi Jangwani Mwanza hadi Mtwara hakuna mtu ambaye hajui kutetema wazee vijana na watoto"

"(Simba) Wanarudia kosa lile lile, wanahangaika na ya Yanga wanasahau na wao wana jukumu la kuziba pengo la Bocco aliyezeeka, pengo la Kibu, Pengo la Onyango, nk. Yaani Pale Simba ni Inonga tu mwenye sifa ya kuvaa ile Jersey ya Mo"

© Thadei Ole Mushi
 
Mafanikio yapi hayo ambayo Simba haijawahi yafikia?
Ya kufika fainali ya CAF confederation Cup. Nazani mechi ukilitizama na mtangazaji ulimsikia "kutoka Tz Yanga ndiyo ya kwanza kuingia fainali ".

Wewe lini ulifika fainali ya CAF michuano yoyote ile au hata nusu ulifika lini?

Nyie kila siku wazee wa target then robo basi.
 
Mashabiki wa simba wanatamani mafanikio ya Yanga yangekuwa ndiyo ya timu yao! Ila kwa bahati mbaya jambo hilo haliwezekani kamwe.
boss mafanikio gani?back to back mara 4 ww ilo ukumbuki,kwanza mjiandae makundi ya CAF CL mna miaka 25 amjacheza ss cjui tunataka mafanikio gan kutoka kwenu?
 
Ukistaajabu ya kule utayaona ya huku, yes Yanga imekua topic mjini na vijijini, walipata kusema mti wenye matunda ndio hupigwa mawe na ule usio zaa au kuwa na matunda hukatwa kabisa.

Yanga ni mti wenye matunda tena matamu sana watoto wote wa kijijini wamekusanyika kurokota matunda matamu kwenye mti unaoitwa Yanga.

Hii Yanga hii kila sehemu ni Yanga kila kona ni Yanga, sio kwa wanayanga wenyewe, sio kwa Wanasimba tena hawa ndio zaidi, wala sio kwa wanaAzam jina Yanga halikauki midomoni mwao ni Yanga Bingwa, Yanga wana medali 4, Mayele anatakiwa na Kaizer, Pitso Mosimane anakuja Yanga, Ibenge anakuja Yanga, hakika ni habari tamu na nzuri tu hata kama ni tetesi.

Ukiingia Fb kila chanzo cha habari kupata attention lazima waje na mastory ya Yanga hata humu Jf angalia kurasa za michezo 99% ni habari tamu na kuvutia za Yanga.

Sijaona tetesi za Chama au Saido kutakiwa hata na Kitayose au Majimaji njoo kwa Yanga sasa wanatamani hata kuinunua timu nzima ya Yanga hili halikuja vuup kama volcano [emoji291] nop ni nguvu, akili, pamoja na uwekezaji wa nguvu sana chini ya GSM yes [emoji106] wamepiga kazi.

Tunaruhusu kuendelea kuisemea Yanga kwani ndio timu bora kwa sasa timu yenye medali 4 itakua ngumu sana kuacha kuisema timu yenye medali 4 tena moja ya kimataifa na kuanza kuisemea timu iliyotoka kapa bila chochote kitu.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-08-03-04-27-47-60.jpg
    Screenshot_2023-08-03-04-27-47-60.jpg
    51.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom