Yanga wanakuacha ukamie, wanakupiga kimoko hao wanasepa na alama zao tatu

Yanga wanakuacha ukamie, wanakupiga kimoko hao wanasepa na alama zao tatu

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
464103763_1104919611205339_4872074416005818532_n.jpg

Utulivu, Malengo na Focus za wachezaji wa Yanga ni wa hali ya juu sana. Kuna namna naona hii timu safari hii haijadhamiria sana taji la Ligi (japo hii inatokea tu automatically kutokana na ubora alio nao) Ila malengo hasa ni katika Ligi ya mabingwa barani Afrika.

Hii inathibitishwa na aina ya matokeo ya Yanga mpaka sasa, michezo 8, haijaruhusu goli hata 1, imeshinda michezo yote! huu ni ubora wa viwango vya juu mno!

Timu kubwa duniani pekee ndizo zinazoweza kufanya hivi, Hii ina maana hakuna club yenye ubora unaokaribia Yanga Tanzania, kuilinganisha Yanga na vilabu vya Tanzania kama kengold, coastal union,simba sijui JKT ni sawa na John cena yule wa miaka ya 2010 apande ulingoni na mwasibu!

Kilichobaki kwa Yanga sasa ni kuudhihirisha ukubwa wao Afrika, ambapo pia itakuwa ni suala la muda kuchukua mataji ya Afrika.
 
View attachment 3139535
Utulivu, Malengo na Focus za wachezaji wa Yanga ni wa hali ya juu sana. Kuna namna naona hii timu safari hii haijadhamiria sana taji la Ligi (japo hii inatokea tu automatically kutokana na ubora alio nao) Ila malengo hasa ni katika Ligi ya mabingwa barani Afrika.

Hii inathibitishwa na aina ya matokeo ya Yanga mpaka sasa, michezo 8, haijaruhusu goli hata 1, imeshinda michezo yote! huu ni ubora wa viwango vya juu mno!

Kilichobaki kwa Yanga sasa ni kuudhihirisha ukubwa wao Afrika, ambapo pia itakuwa ni suala la muda kuchukua mataji ya Afrika.
Kuna litimu kila tukianzisha chama halikosi.

5 GOAL SOCIETY(kono la nyani society

1. Simba
2. Kmc
3. Jkt
4.
5.
6.
7.

1 GOAL SOCIETY(kimoko society)

1. simba
2. kmc
3. coast union
4. ken gold
5. black stars
6.
7.
 
Naona sisikii kabisa zile kelele za sijui kuna bahasha za GSM! Sijui refa kahongwa!! Sijui Mwigulu kafanya nini!! Maana hata wenyewe na umbumbumbu wao, bado walishuhudia mpira mkubwa uliopigwa ile jana kwa pande zote mbili.
Walikalia ukuni hamu yote iliisha
 
Mimi niliona Metacha anapiga goti badala ya kuufuata mpira, labda macho ya uzee haya
 
View attachment 3139535
Utulivu, Malengo na Focus za wachezaji wa Yanga ni wa hali ya juu sana. Kuna namna naona hii timu safari hii haijadhamiria sana taji la Ligi (japo hii inatokea tu automatically kutokana na ubora alio nao) Ila malengo hasa ni katika Ligi ya mabingwa barani Afrika.

Hii inathibitishwa na aina ya matokeo ya Yanga mpaka sasa, michezo 8, haijaruhusu goli hata 1, imeshinda michezo yote! huu ni ubora wa viwango vya juu mno!

Timu kubwa duniani pekee ndizo zinazoweza kufanya hivi, Hii ina maana hakuna club yenye ubora unaokaribia Yanga Tanzania, kuilinganisha Yanga na vilabu vya Tanzania kama kengold, coastal union,simba sijui JKT ni sawa na John cena yule wa miaka ya 2010 apande ulingoni na mwasibu!

Kilichobaki kwa Yanga sasa ni kuudhihirisha ukubwa wao Afrika, ambapo pia itakuwa ni suala la muda kuchukua mataji ya Afrika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-2104962820.jpeg
 
Back
Top Bottom