Yanga wananunua mechi kwa JKT Ruvu??

ablood8

Senior Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
181
Reaction score
90
Habari za gazeti la leo la Mwananchi kwamba JKT Ruvu kwa Yanga kama uji na mgonjwa!
 
Habari za gazeti la leo la Mwananchi kwamba JKT Ruvu kwa Yanga kama uji na mgonjwa!
Hakuna ajabu hapo ndg ndio Moira wa tz huo timu ikiwa bingwa inaishia kwenye Makundi pyuuuu
 
Mi nilisema hao wajeshi walikuwa wanafanya mazoezi tu.mpira beki ziliachia kama hawakuepo vile.
 
Kama mnyama anavyonunua kwa Ndanda. Au mikia wanashinda kwa uwezo wao?
 
Kama mnyama anavyonunua kwa Ndanda. Au mikia wanashinda kwa uwezo wao?
Wanapitisha mchango klabuni. Wachezaji wamegoma mishahara imedunda. Wacha kupiga mdomo JF nenda kaokoe jahazi au at least kasaidie kupiga magoti mishahara ilipwe.
 
Kwa hiyo unalihusisga jeshi na rushwa sio? Halafu ukipigishwa kwata unaanza kulia lia.
 
Wanapitisha mchango klabuni. Wachezaji wamegoma mishahara imedunda. Wacha kupiga mdomo JF nenda kaokoe jahazi au at least kasaidie kupiga magoti mishahara ilipwe.
Mwezi mmoja sio issue. Mikia wanakaa hado2miezi mitatu
 
Mwezi mmoja sio issue. Mikia wanakaa hado2miezi mitatu
Umewaona wachezaji Simba wakigoma?Leo ndio wachezaji wenu hawajafanya mazoezi kabisa asubuhi. Okoa jahazi kapige magoti kwani itakuwa nini?
 
Umewaona wachezaji Simba wakigoma?Leo ndio wachezaji wenu hawajafanya mazoezi kabisa asubuhi. Okoa jahazi kapige magoti kwani itakuwa nini?
Hizo ni mind games tu. Don't read too much into those petty issues mkuu.
Msubiri kupokwa point za Ndanda. Yanga walistuka wakamtoa Zulu nyie mkaingia jumla jumla.
 
Naamini viongozi watawafuata wale wazee wanaojiita ndio wana haki miliki ya Yanga walipe mishahara, so wawatumie tu invoice ya mshahara wapo vizuri watalipa maana wale kwa mujibu wao ndio wana Yanga kindakindaki wengine photocopy na ni wajinga.
 
Goli 3 za ufundi zile, hakuna kununua mechi. Uwezo wa Yanga umekuwa mkubwa mara2 msimu huu. Wapinzani mjipange sana mfunge mkanda.
 
Mmekalia historia. Habari ya mujini ni kwamba wachezaji wenu wanadai mishahara na wamegoma.
 
Umewaona wachezaji Simba wakigoma?Leo ndio wachezaji wenu hawajafanya mazoezi kabisa asubuhi. Okoa jahazi kapige magoti kwani itakuwa nini?
Vichezaji vya simba vinakaa na mama zao.. Wanacheza kutafuta sifa kama mpira wa shuleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…