Kwa jinsi yule kocha Mwinyi Zahera alivyojitolea kwa Yanga ambayo ilikuwa inaandamwa na ukata mkubwa na Yanga; walichomfanyia, wanastahili matusi ya huyu Mbelgiji
Zahera alikuwa akiikopesha Yanga fedha zake, na saa nyingine kuwalipia Wachezaji vyakula na nauli, japo haikuwa wajibu wake, lakini alitumuliwa kwa matusi.
Alikuwa na kasoro zake lakini at least Yanga wangeweza kuagana naye kiheshima.