Yanga wanavyohaha kusaka ushindi nje ya uwanja dhidi ya waraabu kwa kutoa damu na kusaidia yatima

Yanga wanavyohaha kusaka ushindi nje ya uwanja dhidi ya waraabu kwa kutoa damu na kusaidia yatima

Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Tumia kiswahili fasaha, wamechangia damu.
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Heeee unataman wangeanzisha simba haya
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
wacha kuwaonea donge wenzio,we km una damu kijiko ya kumtolea mwingine huna tulia usije kutufia bure
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Ha ha ha ha ha
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Ukweli mchungu Yanga ana game ngumu kuliko Simba
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Kila silaha itumike tushinde
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Nilivyoangalia ID yako tu nikaconclude ulichoandika ni pumba tu
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Unaumwa wewe si bure.
 
Aliyekuelewa kwa huu uandishi wa kipunguani basi atakuwa alimuelewa Zumaridi kwenye moja na mbili
 
Game ngumu ni simba na horoya, Kila Mmoja anafight afuzu.
Yanga na monastir, monastir kishafuzu ,yanga ndio anapambana afuzu
 
Game ngumu ni simba na horoya, Kila Mmoja anafight afuzu.
Yanga na monastir, monastir kishafuzu ,yanga ndio anapambana afuzu
Monastir anahitaji hii mechi ashinde au apate sare ili aongoze kundi kuepuka kupangiwa na timu ngumu kwenye robo fainali
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Ulichoandika hapa ni 🚮 kwa 💯%
 
Unatumia hisia kuliko uhalisia katika chapisho lako kwasababu huu ni mwaka wa pili sasa Yanga wamekua na huo utaratibu kabla ya mechi zao.
 
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.

Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
mbona kutoa misaada kwa wahitaji wameanza siku nyingi sana!kabla hata hawajafuzu makundi even kabla hata ya msimu huu!!
 
Back
Top Bottom