Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Tumia kiswahili fasaha, wamechangia damu.Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Heeee unataman wangeanzisha simba hayaYanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
wacha kuwaonea donge wenzio,we km una damu kijiko ya kumtolea mwingine huna tulia usije kutufia bureYanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Ha ha ha ha haYanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Halafu anajiita mtu maarufu sijui huo umaarufu ameupimajeBwana mdogo acha kufosi umaarufu…. kila muda unaandika utumbo wa nyuzi zisizo kwisha
Ukweli mchungu Yanga ana game ngumu kuliko SimbaYanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Kila silaha itumike tushindeYanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Nilivyoangalia ID yako tu nikaconclude ulichoandika ni pumba tuYanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Unaumwa wewe si bure.Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
Monastir anahitaji hii mechi ashinde au apate sare ili aongoze kundi kuepuka kupangiwa na timu ngumu kwenye robo fainaliGame ngumu ni simba na horoya, Kila Mmoja anafight afuzu.
Yanga na monastir, monastir kishafuzu ,yanga ndio anapambana afuzu
Ulichoandika hapa ni 🚮 kwa 💯%Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.
mbona kutoa misaada kwa wahitaji wameanza siku nyingi sana!kabla hata hawajafuzu makundi even kabla hata ya msimu huu!!Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.