Yanga wapo desparate

Yanga wapo desparate

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
Yanga ni timu yangu, lakini kwa sasa wapo desparate, wanaajiri makocha desparately, wanafukuza desparately na watafungwa na simba kwa huo udesparate wao. Nawanasihi watulie wafanye mipango yao kwa utulivu na kwa kuzingatia factors mbalimbali sio kuifunga simba tu.
 
Yanga hawezi kufungwa na Simba msimu huu, mwakajana Simba walipata point Moja, mwaka huu Simba hapati ata point mmoja. Mwaka huu Yanga ndie bingwa ni swala la muda tu.
 
Kocha mpya wa yanga namuhurumia sana..

Maana ikitokea bahati mbaya mechi na simba yanga ikafungwa nyingi lazima na yeye atatimuliwa..

Msolla anapenda kuepuka lawama kwa kutimua kocha fasta
 
Kocha mpya wa yanga namuhurumia sana..

Maana ikitokea bahati mbaya mechi na simba yanga ikafungwa nyingi lazima na yeye atatimuliwa..

Msolla anapenda kuepuka lawama kwa kutimua kocha fasta
Mpira mmejifunzia wap nyie mikia? Kocha hata aje leo hawez kua incharge wa game ijayo
Mwambusi atasimamia walau game 2 au 3 kwa hyo game ijayo mwambusi kocha msaidizi ndio atasimamia show...kocha ajae cedric kaze atakua mtazamaji tu wa game ya tarehe 18
 
Yanga hawezi kufungwa na Simba msimu huu, mwakajana Simba walipata point Moja, mwaka huu Simba hapati ata point mmoja. Mwaka huu Yanga ndie bingwa ni swala la muda tu.
Msimu uliopita head to head Simba na Yanga (mechi 3)
Yanga alishinda 1 (1-0), lost 1 (4-1) .Simba alishinda 1 (4-1), lost 1 (1-0), sare 1 (2-2).Kwa hayo matokeo inakuonesha Simba ilikuwa timu bora na inaweza kupata matokeo bora kwenye mechi yotote baina ya Yanga ila kwa makusudi kabisa ukaamua ujifariji kwa kuangalia mechi za ligi tu
 
Kocha mpya wa yanga namuhurumia sana..

Maana ikitokea bahati mbaya mechi na simba yanga ikafungwa nyingi lazima na yeye atatimuliwa..

Msolla anapenda kuepuka lawama kwa kutimua kocha fasta
Makocha wote wanaomba kujiunga na timu baada ya dabi ya simba na yanga
 
Yanga ni timu yangu, lakini kwa sasa wapo desparate, wanaajiri makocha desparately, wanafukuza desparately na watafungwa na simba kwa huo udesparate wao. Nawanasihi watulie wafanye mipango yao kwa utulivu na kwa kuzingatia factors mbalimbali sio kuifunga simba tu.
Pumbaf sana!...ulikosa tafsiri ya kiswahili ya neno desparate..paka mweusi we!
 
Yanga ni timu yangu, lakini kwa sasa wapo desparate, wanaajiri makocha desparately, wanafukuza desparately na watafungwa na simba kwa huo udesparate wao. Nawanasihi watulie wafanye mipango yao kwa utulivu na kwa kuzingatia factors mbalimbali sio kuifunga simba tu.
Mbona wewe hutulii?!?! Unaropoka ropoka tu....tulia basi 'mwanayanga' mwenzangu....
 
Hapo kwenye Desperately na udesperate ndio ungefafanua sasa.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Yanga hawezi kufungwa na Simba msimu huu, mwakajana Simba walipata point Moja, mwaka huu Simba hapati ata point mmoja. Mwaka huu Yanga ndie bingwa ni swala la muda tu.


Kwa zile goli 4-1 zilikuwa wapi
 
Back
Top Bottom