Yanga watafanya vizuri kimataifa kuliko Simba msimu ujao

Wapo makundi ya CAf tayari....

Nchi hii ina watu wa hovyo sana..
 
Bongo bana kila mtu mtabiriiiiii😂😂😂😂
 

Hebu rudia tena hii habari yako
 
Mshafuzu kwenye makundi yenu ya kinyani na kiumbwa ya kubweka bweka hovyo
 
Mleta mada wewe ni Simbachawene sio Simba Sports club, habari unayo
 
Mleta uzi KAUTELEKEZA UZI WAKE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…