Yanga watatoka kweli kwa simba....?

****************************************************

Ukweli bwana Simba wamejipanga vizuri na wamesajili wachezaji wazuri mwaka huu, na kama alivyosema mdau hapo juu wanayo one of the best coach in Africa in Patrick Phiri..Nilipata bahati kuongea nae baada ya kutolewa Zamia la time kwan kombe la Africa..Ni mtulivu na anajua Soka kweli kweli..Naona ataleta mafanio sana mwaka huu..Aliwesesha Simba Kutwaa ubingwa mara mbili alipokuwa mao miaka nnee zilizopita..Yanaga bwana hawafundishiki na mastaa players kutoka njee hawana kitu..watachapwa tuu na kila timu watayokutana nayo..

Ila kinachotakiwa ni kuangalia kama viongozi hawataingilia na timu,kama tunavyojua soka ya bongo imejaa ubabe,mara leo makomandoo, mara sijui vibopa, mfadhili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…