OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
FT Gwambina 0-0 Yanga
[/QUOHawajapoteza gemu ata moja,nyie mbumbumbu fc aka misekule fc mmepigwa gemu mbili...tulieni kwa kwa kutulia.FT Gwambina 0-0 Yanga
Kwa hisani ya refa,Gwambina wamefunga goli likakataliwa
sina uhakika?!akili za kiutopolo hiziAkili za usiku hizi, wakati huna uhakika wa kula kesho unamcheka aliekunywa angalau uji leo, kesho tena mje kupost hapa
Naangalia msimamo wa ligi hapa kumbe Vyura FC ndiyo wamekalia usukani? Maajabu!!!FT Gwambina 0-0 Yanga
Kwa hisani ya refa,Gwambina wamefunga goli likakataliwa. Hata hivyo mwali wetu kaendelea kututunzia bikra. Jumamosi tunakaza
Ni swala la mda watarud kwenye nafasi yaoUtopolo ndio wanaoongoza ligi hata kama kesho Simba itashinda mechi yakeView attachment 1618809
Sawa shekh YahayaNi swala la mda watarud kwenye nafasi yao
Mpira wa Yanga umetawaliwa na Uchawi..Wanacheza mpira wa ujanja ujanja tu hata Formation yao uwanjani haieleweki hujui Striker ni nani, kiungo ni yupi Kuna muda unajiuliza hizi point walizonazo walizipataje hawa.
Tunatoka 4G na kuhamia 5G rasmi hiyo 7 novLeo ni kilio ila jumamosi watasaga meno