Yanga wenzangu tunapigwa

Sainya Jnr

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2019
Posts
467
Reaction score
1,112
Senzo huwa hapendi Kuishi sehemu yenye uhuni uhuni mwingi.

Hiyo imekuwa kawaida kwa upande wake.

Kwa sasa kinachoendelea ndani ya klabu yetu YANGA SC ni uhuni uhuni mwingi.

Kila mtu Anapiga pesa kwa njia yake. Taarifa za siri sana kutoka kwa wadau weye sauti za juu kwenye klabu hiyo zinadai kwenye usajili zimetumika Milioni 317 kwa wachezaji wote lakini kwenye matumizi ya Klabu imeandikwa Bilioni 1.4

Pia kuna wafanyakazi ambao wapo ndani ya Yanga SC wataondolewa na wataletwa wafanyakazi wengine.

Na inasemekana kuwa hao wafanyakazi wapya wanaoingia wanatoka upande wa GSM.

Yanga kwa sasa inaenda kuendeshwa kwa matakwa ya GSM na Siyo matakwa ya klabu au wanachama.

Ipo siku ukweli utafahamika hadharani.
Tusubiri tuone.
 
Senzo huwa hapendi Kuishi sehemu yenye uhuni uhuni mwingi.
Hiyo imekuwa kawaida kwa upande wake...
Kwangu mimi naona ni bora iendeshwe kwa nguvu ya GSM kuliko wanachama.

Kiukweli ikiwaachia timu waswahili wataiharibu! Timu mwachie mwenye pesa..

Vivyohivyo kwa Azam huwezi waachia wanachama ukamtoa Bakhresa eti timu iendelee..noo

Hata simba mtu kama Mo ni muhimu sana pale huwezi mtoa ukawaweka wale vobabu vinavyoshinda kwenye kahawa lumumba

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kwangu mimi naona ni bora iendeshwe kwa nguvu ya GSM kuliko wanachama.

Kiukweli ikiwaachia timu waswahili wataiharibu! Timu mwachie mwenye pesa...
Wewe si ndiye uliyekuwa mstari wa mbele kusema mo kajimilikisha simba. Leo unasema ni bora GSM achukue timu kuliko Wanachama ? Hii TZ ina watu wa ajabu Sana.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Usajili Milioni 300? Wakati Aziz Ki pekeyake amelamba zaidi ya 400M
 
Wewe si ndiye uliyekuwa mstari wa mbele kusema mo kajimilikisha simba. Leo unasema ni bora GSM achukue timu kuliko Wanachama ? Hii TZ ina watu wa ajabu Sana.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Wameshikwa pabaya hawana namna tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Timu ukiwaachia wale wavaa kandambili unategemea Nini?
 
Muda unaotumia kuandika upuuzi mngeushauri uongozi wenu ufanye jitihada za kumsajili Manzoki.
 
Watu weledi wakifanya kazi nzuri wakishamaliza mikataba yao huwa wanaondoka, ukibaki unaweza kuondoka kwa aibu na ukachafua Cv
 
Wewe poyoyo usilinganishe katiba ya yanga na takataka zenu mlizonazo uko, katiba ya yanga iko very tight kwenye suala zima la uwekezaji, ni moja ya katiba bora ambayo imezingatia kwa kina misingi ya klabu, akuna mwekezaji atakuja kuleta mambo ya uswahili na kuinajisi yanga Kama anavyofanya Mo uko kwenu anafanya anachotaka, Unaposema matumizi ya usajili ni m.317 nafikiri kichwa chako kuna fyuzi imechomoka sio bure, Aziz ki peke yake kalamba 460, vipi bigirimana? Vipi lomarisa? Vipi kambole? Wamesajiliwa bure? Kabla ujapost uharo uwe unafanya utafiti kwanza kujua propaganda yako kama angalau itaclick kwenye vichwa vya watu, shida yenu umbumbumbu wenu mnauweka Sana wazi sijaelewa Kama ni laana ya mwenyekiti wenu rage au vipi
 
Iv unajua galama za kurenew contract wewe na hao wakina aziz ki wamekujaje emu acha zko kuanzia billion 1 uko Kuendelea ni kwer zimetumika acha uswahil
 
Kibongo bongo klabu kufanikiwa ni kazi sana. Porojo/masengenyo/upigani, unafki, uzandiki na chuki havikosekani kamwe.

Na mbaya zaidi humo humo tena mahasimu wenu wanapandikiza mbegu zao. Na mbaya zaidi ni kua wanaklabu wote wanakua hawana mipango na maono ya pamoja ( ubinafsi mwingi)

Hizi timu zetu zilitakiwa kujiimarisha kimfumo miaka ile ya 70,80 au 90.
Ila miaka hii kila "mwamba ngoma huvutia kwake"
 
Senzo huwa hapendi Kuishi sehemu yenye uhuni uhuni mwingi.

Hiyo imekuwa kawaida kwa upande wake...
Una akili wewe unatuletea taarifa za uongo humu hivi hata ufaham wako wa kawaida haukusaidii an kwenye usajili zitumike mill 317 pamoja na ujio wa wachezaj wote wakubwa wale kina Aziz ki,vitu vingne kabla ya kupost em tafakari kwanz mwnyew kwa ufaham wa kawaidaa2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…