moody kabwe Member Joined Mar 13, 2015 Posts 76 Reaction score 21 Jun 2, 2015 #1 Ukiwa kama mshabiki wa YANGA na unahitaji kuwa na kadi ya uwanachama tunakualika siku ya jumapili pale travetain magomeni saa 6:00 Attachments 1433226316206.jpg 41.9 KB · Views: 174 1433226331855.jpg 54.6 KB · Views: 285
Ukiwa kama mshabiki wa YANGA na unahitaji kuwa na kadi ya uwanachama tunakualika siku ya jumapili pale travetain magomeni saa 6:00
D dos santos JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 256 Reaction score 128 Jun 2, 2015 #2 Hio saa ni mchana au usiku. Tujuze vizuri kunani
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Jun 2, 2015 #3 moody kabwe said: Ukiwa kama mshabiki wa YANGA na unahitaji kuwa na kadi ya uwanachama tunakualika siku ya jumapili pale travetain magomeni saa 6:00 Click to expand... Mimi nahitaji kadi, ila sitainunua maana nimesikia menyekiti wetu YM atatununulia wanachama wapya kadi mpya na kuwalipia wale wenye madeni ya ada ili tuingie kwa wingi kwenye uchaguzi mkuu wa viongozi ulioitishwa na Francis Kaswahili
moody kabwe said: Ukiwa kama mshabiki wa YANGA na unahitaji kuwa na kadi ya uwanachama tunakualika siku ya jumapili pale travetain magomeni saa 6:00 Click to expand... Mimi nahitaji kadi, ila sitainunua maana nimesikia menyekiti wetu YM atatununulia wanachama wapya kadi mpya na kuwalipia wale wenye madeni ya ada ili tuingie kwa wingi kwenye uchaguzi mkuu wa viongozi ulioitishwa na Francis Kaswahili