Hakuna kipya,hadidhi ni ile ile.Ikicheza bila malengo pasi nyingi za kurudi nyuma huku etoille wakiwa pungufu toka dk ya 42 ya mchezo,Yanga imeshindwa tena mbele ya waarabu.
Mchezo wa awali wengine walidai sare ni kwa sababu Telela hakuwepo!na sababu zingine nyingi ziszo na mashiko.Sasa kujustify kauli zao wataandika yafa kiume,refa na wasaidizi hawakuwa fair etc.
Ni wakati wa kuachana na visingizio,wachezaji bado hawajaonyesha commitment.