Vikombe vyote watuekee, Sisi tunachukua..!Na tuna anza na timu ya ujerumani iliyo maliza nafasi ya 11 😎😎 sisi ndio Yanga SC
Naunga mkono hojaVikombe vyote watuekee, Sisi tunachukua..!
Simba wao wamealikwa wapi?
Acha tushiriki mkuu ligi ya nbc haina ata shida maana ubingwa tayari tushachukua.Hili kombe si la kushiriki. Watatupotezea muda na focus kwenye mambo muhimu.
Na tunaifungaNa tuna anza na timu ya ujerumani iliyo maliza nafasi ya 11 😎😎 sisi ndio Yanga SC
naunga mkono hojaNa tunaifunga
Unavyompenda huyo sonic the hedgehog!?Vikombe vyote watuekee, Sisi tunachukua..!