kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Kusuasua kwa timu ya Yanga katika ligi kuu ya Vodacom msimu wa 2017/2018 inasadikiwa kutokana na kutokuwepo kwa timu zinazofundishwa na makocha hawa katika ligi kuu
1. Charles Mkwasa
2. Fred Minziro
3. Juma Mwambusi
Aidha, kushuka kwa Toto Africa nalo linatajwa kuwa ni pengo kubwa kwa timu hiyo. Wadadisi wanasema Meck Mexime pekee hakuweza kutoa mchango mkubwa.
Hayo ni maneno ya mashabiki walipokuwa wakichambua mwenendo wa Yanga mwaka huu. Wachambuzi hao wanakataa katakata kuwa kuzorota kwa Yanga hakutokani na ukosefu wa pesa.
Kwa upande wenu mnazionaje hoja hizo?
1. Charles Mkwasa
2. Fred Minziro
3. Juma Mwambusi
Aidha, kushuka kwa Toto Africa nalo linatajwa kuwa ni pengo kubwa kwa timu hiyo. Wadadisi wanasema Meck Mexime pekee hakuweza kutoa mchango mkubwa.
Hayo ni maneno ya mashabiki walipokuwa wakichambua mwenendo wa Yanga mwaka huu. Wachambuzi hao wanakataa katakata kuwa kuzorota kwa Yanga hakutokani na ukosefu wa pesa.
Kwa upande wenu mnazionaje hoja hizo?