Yanga yaitaka bodi ya ligi kutokuipa simba pointi 3 eti itaathiri ubingwa wake

Mikia mpira umewashinda mwaka huu hata kuteka watateka
Mkuu unaikosea Simba bhana...kama ni hivyo basi sheria na kanuni za soka zisingekuwepo, hata kama ni ushabiki ifike wakati tuheshimu na sheria za soka basi
 
Mkuu unaikosea Simba bhana...kama ni hivyo basi sheria na kanuni za soka zisingekuwepo, hata kama ni ushabiki ifike wakati tuheshimu na sheria za soka basi
Vyura aka Ngada FC hawana jipya
 
Mishara ya wachezaji wa Yanga inajulikana...Simba nani analipwa mshahara wa 9m?
Kulipa mshahara mkubwa ni sifa? Kuna tofaut ya kutaja mishahara na kuilipa, mulzan sifa kusema tutakupa ml 9? Haya lipeni sas
 
Wangelipa mishahara kwanza. ......manake chirwaa nae kaacha manyoyaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…